Lucas
JF-Expert Member
- Dec 3, 2011
- 2,457
- 1,108
teh teh teh ..... usipende kukimbilia thread ... fungua thread ukitegemea lolote lile ...
kama habari hii ingekuwa kwenye jukwaa la jokes/udaku wala nisingeshangaa!! na kama sio udaku basi ilipaswa kuandikwa kwa kuzingatia uzito wa taarifa yenyewe na impact kwa wasomaji..... nimeona huko juu mwandishi wa hii thread ameweka personal attacks kwa watu walio m-criticize BUT i believe hata kwa wana CDM wenyewe hili halifurahishi hata kidogo!!
Du! Inasikitisha kufanya jukwaa hili linaloheshimika kuwa kichaka cha heading za UDAKU! Mleta mada anatakiwa ajue kuwa huku ni sehemu ya facts tu si sehemu ya kuleta upuuzi bwn. Alivyotengeneza heading haijapendeza kabisa.
Thanks Paul Kijoka, maana vijana sijui ni kuwa hawajui habari gani iandikwe wapi au la!!!
Last edited by a moderator: