Anayeijua shule ya sekondari Bwiru iliyoko jijini Mwanza

Wa kusoma

JF-Expert Member
Jul 30, 2011
3,454
2,975
Hongereeni kwa kufika 2017, Mungu in mwema.

Jamani mdogo wangu amechaguliwa kujiunga kidato cha kwanza shule ya sekondari Bwiru.
Naombeni kwa anayejua taratibu za shule hii ikiwemo, ada, michango, sare nk au kama kuna mwenye fomu ya kujiunga (joining instruction anitupie hapa) maaana nimekosa mawasiliano na shule hii.

Pia kama una mdau yupo pale niunganishe naye.
 
Hongereeni kwa kufika 2017, Mungu in mwema.

Jamani mdogo wangu amechaguliwa kujiunga kidato cha kwanza shule ya sekondari Bwiru.
Naombeni kwa anayejua taratibu za shule hii ikiwemo, ada, michango, sare nk au kama kuna mwenye fomu ya kujiunga (joining instruction anitupie hapa) maaana nimekosa mawasiliano na shule hii.

Pia kama una mdau yupo pale niunganishe naye.

Kuna Bwiru ya wavulana na ya wasichana..Ipi unayotaka wewe?
 
Wewe ni mumbea aiseee sasa jamani sahivi elimu si ni bure sasa hiyo ada unamaanisha unataka ukalipe yanini???
Kama ni sare wanavaa suruali nyeusi..... Na shati jeupe LA mikono mifupi
 
Hongereeni kwa kufika 2017, Mungu in mwema.

Jamani mdogo wangu amechaguliwa kujiunga kidato cha kwanza shule ya sekondari Bwiru.
Naombeni kwa anayejua taratibu za shule hii ikiwemo, ada, michango, sare nk au kama kuna mwenye fomu ya kujiunga (joining instruction anitupie hapa) maaana nimekosa mawasiliano na shule hii.

Pia kama una mdau yupo pale niunganishe naye.
www.ShuleWiki.com
 
Bwiru boys ni shule nzuri kijumla lkn itategemea pia na kujitambua kwa mwanafunzi husika,,akitaka kusoma atasoma,ataogelea sana ziwa Victoria pia huwa kunatabia ya kuwachungulia bwiru girls wanapokuwa wanaoga ziwan n yeye kuamua,,,,,mm nilikuwa pale 2008
 
Haipo jijini Mwanza,ipo nje kidogo ya Jiji.

Ipo katika Wilaya ya Ilemela na ni shule ya Ufundi. Ipo pembeni kabisa ya Shule ya Sekondari ya Wasichana Bwiru. Pia ni Shule ya Upili yaani Advanced Level (form 5&6).

Sare zao ni Suruali nyeusi na Shati leupe la mikono mifupi. Ipo pembeni sana ya ziwa Victoria. Wapinzani wao wakubwa ni Shule ya Sekondari ya Wavulana Nsumba.

Mengine nitakujuza.
 
Haipo jijini Mwanza,ipo nje kidogo ya Jiji.

Ipo katika Wilaya ya Ilemela na ni shule ya Ufundi. Ipo pembeni kabisa ya Shule ya Sekondari ya Wasichana Bwiru. Pia ni Shule ya Upili yaani Advanced Level (form 5&6).

Sare zao ni Suruali nyeusi na Shati leupe la mikono mifupi. Ipo pembeni sana ya ziwa Victoria. Wapinzani wao wakubwa ni Shule ya Sekondari ya Wavulana Nsumba.

Mengine nitakujuza.
Nani kakudanganya kua shule ya upili ndio advanced level?

Shule ya upili maana yake secondary school. mijitu mingine bwana.
 
Hongereeni kwa kufika 2017, Mungu in mwema.

Jamani mdogo wangu amechaguliwa kujiunga kidato cha kwanza shule ya sekondari Bwiru.
Naombeni kwa anayejua taratibu za shule hii ikiwemo, ada, michango, sare nk au kama kuna mwenye fomu ya kujiunga (joining instruction anitupie hapa) maaana nimekosa mawasiliano na shule hii.

Pia kama una mdau yupo pale niunganishe naye.
Baba na mama yangu na anko zangu na jamaa zangu wanafundisha hapo

"Mkono Mtupu Haulambwi"
 
Ada kwa sasa hakuna. Ina Mazingira poa sana, jirani na ziwani na ulipo mnara wa Mv. Bukoba, Wilaya ni Ilemela. Ina mabweni kati ya 9 mpaka kumi kwa sasa, ina mchepuo wa ufundi, (Technical School) kifupi Mazingira yake ni mazuri sana.

Ilianzishwa mwaka 1920 wakati wa ukoloni. Inasomekana kuwa, Jaji Nyalali, (sasa marehemu), Jaji Warioba, Pius Msekwa, Nimrod Mkono, Mkuu wa Wilaya wa sasa wa Kinondoni, Ally Salum Hapi, wote hao ni matunda ya Shule ya Bwiru, kwani wamepita hapo.
 
Nawaangalia kwanza mnavyosutana msutane mpaka basi nitakuja na majibu ya kueleweka kwa sababu naona watu wanabunibuni tu hawana uhakika na majibu yao
 
Back
Top Bottom