lutamyo
JF-Expert Member
- Apr 13, 2011
- 641
- 159
Kaka mimi siwajui vizuri ila kwa mtu wa ngazi unayoitiwa ni Coas 4 - Tshs 769,241 kwa mwezi. suala la malulupu inategemea sana. Ingawa walikuwa na mze mmoja wakichaga ambaye ameharibu saana shirika hilo maana kwa sasa perfomance yao ni chini ya aslimia 50%. Uchaguzi ni wako.
kaka coasco ni shirikisho la ukaguzi la vyama vya ushirika,kazi yao ni kukagua vyama vya ushirika,sina uhakika na malipo yao ila kuna maslahi mazuri,nishafanya nao kazi walikuja kukagua vyama vyetu,mie ni afisa ushirika.