Anayefahamu ofisi za NACTE, msaada

Anayefahamu ofisi za NACTE, msaada

TEMBO WANGU

JF-Expert Member
Joined
Feb 21, 2014
Posts
930
Reaction score
1,297
Wadau naomba kama kuna mtu anafahamu ofisi za nacte, mi nakaa kinondoni mkwajuni. naomba msaada wadau. asante
 
mikocheni barabara ya ITV karibu na chuo cha kodi au shule ya secondary Alpha
 
usihangaike shuka ITV chukua bajaji waambie wakuprleke ofisi za nacte. watakupeleka mpaka getini
 
Back
Top Bottom