msnajo
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 3,066
- 1,142
Walimu wanatakiwa wajitazame upya na huu mwendo wa woga uwatoke. Kinachonisikitisha ni kwamba kwenye office za halmashauri hata mfagiaji anaweza kumkoromea mwl mwenye degree!! Wanapodai madai yao wanafanya kuomba kwa magoti! Huu ni upumbavu uliotukuka. Miaka yote upo shule, unakuja pata ajira Katavi. Usafiri wa basi siku mbili kutoka Dar, kisha unalipwa laki 3!! Nonsense.