Anaweza pata ujauzito kwa hivi?

Anaweza pata ujauzito kwa hivi?

Joined
Nov 30, 2022
Posts
27
Reaction score
18
Wadau, kuna manzi ameniuliza swali na nimeshindwa nimjibuje.

Alifanya mapenzi na boy wake ilkua siku ya 15 tangu aingie period, walitumia condom bao la kwanza then second round wakafanya bila condom ila bao alimwagia nje.

Anauliza kuna uwezekano kwamba sababu bao la kwanza jamaa kamwagia kwa ndom kukawa na masalia ya sperm kwa uume na mimba ikatungwa, je uwezekano huo upo wadau?
 
Wadau, kuna manzi ameniuliza swali na nimeshindwa nimjibuje..

Alifanya mapenzi na boy wake ilkua siku ya 15 tangu aingie period, walitumia condom bao la kwanza then second round wakafanya bila condom ila bao alimwagia nje...

Anauliza kuna uwezekano kwamba sababu bao la kwanza jamaa kamwagia kwa ndom kukawa na masalia ya sperm kwa uume na mimba ikatungwa, je uwezekano huo upo wadau?
Kati ya kitu siwez kujiamini nacho ni kumwaga nje yaan ntahisi 2 kapitiwa afu kanidanganya au ametoa akiwa kashamwaga😂😂😂maana ata swez kufeel
 
Inawezekana mi nilimsalimia tu demu kwa kumwambia "mambo" kesho yake akanitumia meseji kuwa hajielewi anahisi ana mimba nikakubali kulea mimba nikasema nisije kukataa muujiza wa Mungu maana hata kwenye maandiko ilishatokeaga
 
Wadau, kuna manzi ameniuliza swali na nimeshindwa nimjibuje.

Alifanya mapenzi na boy wake ilkua siku ya 15 tangu aingie period, walitumia condom bao la kwanza then second round wakafanya bila condom ila bao alimwagia nje.

Anauliza kuna uwezekano kwamba sababu bao la kwanza jamaa kamwagia kwa ndom kukawa na masalia ya sperm kwa uume na mimba ikatungwa, je uwezekano huo upo wadau?
Yani mwanamke aje akuulize? We si ujisemee tu tukujibu
 
Wadau, kuna manzi ameniuliza swali na nimeshindwa nimjibuje.

Alifanya mapenzi na boy wake ilkua siku ya 15 tangu aingie period, walitumia condom bao la kwanza then second round wakafanya bila condom ila bao alimwagia nje.

Anauliza kuna uwezekano kwamba sababu bao la kwanza jamaa kamwagia kwa ndom kukawa na masalia ya sperm kwa uume na mimba ikatungwa, je uwezekano huo upo wadau?
Acha kusingizia watu, muhusika ni wewe
 
Wadau, kuna manzi ameniuliza swali na nimeshindwa nimjibuje.

Alifanya mapenzi na boy wake ilkua siku ya 15 tangu aingie period, walitumia condom bao la kwanza then second round wakafanya bila condom ila bao alimwagia nje.

Anauliza kuna uwezekano kwamba sababu bao la kwanza jamaa kamwagia kwa ndom kukawa na masalia ya sperm kwa uume na mimba ikatungwa, je uwezekano huo upo wadau?
Unajiitaje genius na suala dogo kama hili hujui. Huyo demu wako ushampa mimba, siku ya 15 ni ya hatari. Ulinogewa mwenyewe ukavua mpira kubali matokeo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom