Naombeni ushauri nilimaliza elimu ya kidato 2012 na kupata iv 28 kwa kupata d7 kati ya masomo tisa ambayo ni book keeping, commerce, history, kiswahili, civis, biology, geograph.
Je naweza somea ualimu? Ama kilimo ?![]()
Ukiweza mpeleke ufundiNaombeni ushauri nilimaliza elimu ya kidato 2012 na kupata iv 28 kwa kupata d7 kati ya masomo tisa ambayo ni book keeping, commerce, history, kiswahili, civis, biology, geograph.
Je naweza somea ualimu? Ama kilimo ?![]()