Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 21,854
- 27,025
Namfahamu ni sheha hapa Pemba.
Kuna jirani yetu hivi anaitwa Bwana Yoweri naye hupenda kuvaa suti za design hii. Sema yeye hupenda kuvaa na kofia ya Cowboy juu yake. Basi anaweza kuwa ndugu yake.
Wanyamwezi wako vizuri ktk hilo. Nimeishi nao nawafahamu vizuri.Tutake radhi tafadhali.
Waluo ndio wako smart sana kimavazi. Yaani Mluo unaweza kumkuta ndani ya matatu kashika gazeti la TIMES amevaa suti yake na mkonon mwingine ana briefcase. Hao ndio Waluo ni smart balaa.Huyu LAZIMA atakuwa Mkikuyu (Mkenya), there's no argument here. Wanapenda sana kuvaa suits hata kama hana kazi, wanaona ufahari kuvaa suti kutembea mjini kushangaa skyscrapers. Mzungu akimsalimia tu, 'how are you'.....anacheka utafikiri anatongozwa au kupewa offer.
Wako vizuri kwenye nini?Wanyamwezi wako vizuri ktk hilo. Nimeishi nao nawafahamu vizuri.
Waluo ndio wako smart sana kimavazi. Yaani Mluo unaweza kumkuta ndani ya matatu kashika gazeti la TIMES amevaa suti yake na mkonon mwingine ana briefcase. Hao ndio Waluo ni smart balaa.
Ni watu wastaarabu sana.Wako vizuri kwenye nini?
Ooh asante.Ni watu wastaarabu sana.
Ooh asante.Ni watu wastaarabu sana.