Paw akiniacha namuuwa! Bora afe tuzikwe wote
Ongea na paw asafishe haya mavumbi....
Paw akiniacha namuuwa! Bora afe tuzikwe wote
Ongea na paw asafishe haya mavumbi....
Atapata asthma buree nibakie nauguza. Acha ngano na magugu vimee pamoja hadi bwana shamba arudi. Wanachosha hawa!
kama ulikuwa una mtu wako,kulikuwa na umuhimu wowote wa kumtumia huyo bidada?
Cha kufanya akishakuua nawe muue!
sa si uandike wosia kabisa!!!
kama ulikuwa una mtu wako,kulikuwa na umuhimu wowote wa kumtumia huyo bidada?
Nimekua kwenye uhusiana na dada mmoja lkn juz kati niliamua kuachana nae ili kujitoa kwenyd mtandao. Sasa amekua ananitumia sms za vitisho na kunambia chochote kitakachonikuta nimlaum yeye. Wapenda nifanyaje?
Bora nife kuliko kukuacha.Paw akiniacha namuuwa! Bora afe tuzikwe wote