sansam100
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 294
- 170
Hata ungekua wewe ingekuuma japo nashukuru hajaweka jina langu hadharaniAhahahahaa Ungeulizwa ungekubali?
Hata ungekua wewe ingekuuma japo nashukuru hajaweka jina langu hadharaniAhahahahaa Ungeulizwa ungekubali?
Amewapima DNA akathibitisha. !! UKAWA bana...acheni kukurupuka.Mleta uzi Ana maana nzuri sidhani kama alihitaji majibu ya utani
Mbona mnamlaumu huyo mzee bila kuangalia na upande wa pili, kwamba huyo binti nae kanogewa mpaka anaona wivu... hahahahah
Nahakika mungu atakuwa ameilani hii familia hata vizazi vya watoto wao!
Mmmh!!kwani ukifungua kioski unakula mtaji au faida,watoto ni faida
Hapana huyu ni wa MuhezaHuyo dingi ni Mze wa kichaga au? Nakuuliza hivyo kwani namfahamu Mze mmoja wa kichagga maeneo ya hapo.,
Aiseeee ni ukatili mkubwa mno kwa huyo mtotoPia msidhani hao wameanzia ukubwani, la hasha,
Baba atakua alianza kumuingilia tangu mdogo hvy bint amekua anajua baba ndio mpnz wake, ndio kila kitu,
Ndio mana anafikia hatua ya kuongea au kuonesha hadharani pia anakua na wivu sana na baba ake,
Kiufupi binti ameshaharibiwa akili tangu utoton sasa kumtoa hapo inatakiwa nguvu ya Mungu ihusike
Kuna wengine marekani mama anamsaga binti yake na wameenda public, mama anadai tangu utoto amekua akimfanyia hvy mwanae na ana mume na mume ameukubali kbs uhusiano wa mkewe na mtoto wao,
Walikua wanamsubiri binti afike miaka 18 ili amuoe,
Nadhan washaoana sasa hv.
Hiyo mwanzo umesima pote au umekariri mstari soma pote ndo utaelewa ilikuaje hadi rutu akalala na wanae acha kukurupuka!Cha ajabu kipi kasome Mwanzo19:32-34 stori ya Lutu kuwamega mabinti zake au unaleta unafiki wa kilokole mkesha kumbe kuvunja amri ya sita
Kuanzia Leo nakununia kuniita Ukawa imeniuma sana ina maana mim nyumbu,?Amewapima DNA akathibitisha. !! UKAWA bana...acheni kukurupuka.
What if the girl was adopted?