Mtikila yupo kweli sijamwona siku nyingi sana
Kila nikikumbuka alivyoumbuliwa na Rostam wakati alivyomwita fisadi kwa nini amechangia kanisa, jamaa akatoa karatasi yenye saini yake miezi 6 nyuma alivuta mil 3 za kanisa... Akabaki "inawezekana lakini nitarudisha... hata hivyo hizi ni pesa zetu hizi..." Hahaaa, Mtikalaaaaaaa.
huwa ananifurahisha sana