Eversmilin Gal
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 778
- 269
jamani nimepokea simu ya rafiki yangu akaniambia anatamani afanye maamuzi magumu lakini yuko kwenye dilemma anataka aachane na mume wake dilema iko kwenye mwanaye bado hajaweza kujitegemea anajisahau anajiko**lea mara nyingine anajin**e hajaweza kuongea vizuri huyo rafiki yangu ambaye tupe jina la Q ni binti mdogo tu miaka 25 ameolewa na an amtoto mmoja amebahatika kusoma mpaka form six na badaye akasoma certificate IFM ya insurance bada ya kumaliza hiyo cert hakuweza kuendelea tena na masomo wala hakufanya kazi akawa mama wa nyumbani huku mumewe akimuanbia atamtafutia kaz na atamuendeleza mume wake ni marketin manager ofisi moja hapa mjini hatakiQ afanye kazi anataka awe mama wanyumbani kiukweli ukimuangalia q amebadilika hana confidence ni miaka minne yupo tu ka mama wa nyumbani hata ndugu zake anashindwa kuwaface hana rafiki zaid ya mimi anajifungia ndani hatoki wala hatembelei mtu ameniomba ushauri amechoka kua golkipa anataka ondoke na mimi nkaona niwashikirishe maGreat thinker nilisahau kusoma kote kasomeshwa na mama na mume w ake hamheshimu mama yake hata kidogo please naombeni msaidie kama unaona ni hadithi usichangie