Suma drago
Member
- Jul 15, 2019
- 11
- 14
Wanandugu nimerudi tena, nipeni ushauri kuhusu jambo hili. Miezi minne nyuma nilikuwa na mpenzi niliyempenda sana mpaka kufikia nikajitoa kila hali ili awe na furaha.
Ila alichonifanyia sikutegemea kabisa kwa jinsi nilivyokuwa namzingatia kama angenifanyia kitu kama kile, alikuwa anatoka na mwana fulani msanii hapa kitaa, ilikuwa siri mpaka nikastukia mchongo. Nilichofanya mimi ni kusitisha mahusiano nae japo nilipata tabu sababu nilimpenda sana ila ikafikia kipindi nikazoea, sasa tangia wiki hii ianze amekuwa akiniandama sana ananitumia wajumbe nisamehe anaomba turudiane.
Mpaka kufikia jana kajitokeza mbele yangu anataka tuzungumze ila nimemkwepa halafu cha zaidi ana mimba ya mshkaji. Amemuambia yule mjumbe yupo tayari hata kuflash mimba ili turudiane.
Ila alichonifanyia sikutegemea kabisa kwa jinsi nilivyokuwa namzingatia kama angenifanyia kitu kama kile, alikuwa anatoka na mwana fulani msanii hapa kitaa, ilikuwa siri mpaka nikastukia mchongo. Nilichofanya mimi ni kusitisha mahusiano nae japo nilipata tabu sababu nilimpenda sana ila ikafikia kipindi nikazoea, sasa tangia wiki hii ianze amekuwa akiniandama sana ananitumia wajumbe nisamehe anaomba turudiane.
Mpaka kufikia jana kajitokeza mbele yangu anataka tuzungumze ila nimemkwepa halafu cha zaidi ana mimba ya mshkaji. Amemuambia yule mjumbe yupo tayari hata kuflash mimba ili turudiane.