silent lion
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 1,534
- 2,219
Ndugu huyo hakufai tafuta mwanamke mwengine mapema. mbona wapo wengi tu. Mwanamke akishakuruhusu uoe basi ujue huna chako hapo, wajanja wengine wanagegeda
ni kweli lakini siku zote mwanamke anatakiwa amfuate mwanaume
Jamani wana jf naombeni ushauri wenu mimi nina mpenzi wangu tuko kwenye uhusiano mwaka sasa.Mimi na yeye dini tofauti mimi mwislamu yeye mkristo tatizo amekataa kubadili dini kua mwislam ili tufunge ndoa.Ila amesema yeye hayuko tayari tuachane kwahiyo anadai tuendelee ku date kama kawaida kwani amesha nizoea na ananipenda sana na mi sasa hivi nina mpango wa kuoa kwani nataka kujenga familia na amedai hata kama nikioa mwanamke mwingine ila bado tutaendelea na uhusiano wetu kusema ukweli bado nampenda sana na ananifaa sana katika maisha nifanye nini wana jamvini
ni kweli lakini siku zote mwanamke anatakiwa amfuate mwanaume
ofa ya small house hiyo kaka wala usiiteme...unakiwa unapiga mechi za ugenini mara moja moja
Wewe small house unazo ngapi? Mdanganye tu mwenzio. Mwenyewe unamwona kabisa kama amezubaa design fulani, ni rahisi sana mtu kama huyu kushikiwa akili!