Jamani wana jf naombeni ushauri wenu mimi nina mpenzi wangu tuko kwenye uhusiano mwaka sasa.Mimi na yeye dini tofauti mimi mwislamu yeye mkristo tatizo amekataa kubadili dini kua mwislam ili tufunge ndoa.Ila amesema yeye hayuko tayari tuachane kwahiyo anadai tuendelee ku date kama kawaida kwani amesha nizoea na ananipenda sana na mi sasa hivi nina mpango wa kuoa kwani nataka kujenga familia na amedai hata kama nikioa mwanamke mwingine ila bado tutaendelea na uhusiano wetu kusema ukweli bado nampenda sana na ananifaa sana katika maisha nifanye nini wana jamvini