Ndiyo jibu sahihiKubali ila usiwe na wivu mpo wengi
Mm ni mjuba dadanguUnamaanisha nini kaka/dada
Kula mzigo, tembeaWe ungefanyaje mdau
Ebana wandugu,
Kuna dada nimemtongoza akaniambia ni sawa amekubali lakini hataki mapenzi shatashata. Anasema kila mtu na mambo yake tuwepo kama hatupo.
Yaani kwa kifupi anasema hataki kupendwa nile mzigo tu basi.
We ungefanyaje mdau.
Huyo ni tomboy wa kisilisili mkuuEbana wandugu,
Kuna dada nimemtongoza akaniambia ni sawa amekubali lakini hataki mapenzi shatashata. Anasema kila mtu na mambo yake tuwepo kama hatupo.
Yaani kwa kifupi anasema hataki kupendwa nile mzigo tu basi.
We ungefanyaje mdau.
Yaani huyo ndio anaenifaa mimi maana huko kupenda nishasahau zamani sana sijui mapenzi ni kitu gani nakaribia kufanana na MB DOG hahahaaaEbana wandugu,
Kuna dada nimemtongoza akaniambia ni sawa amekubali lakini hataki mapenzi shatashata. Anasema kila mtu na mambo yake tuwepo kama hatupo.
Yaani kwa kifupi anasema hataki kupendwa nile mzigo tu basi.
We ungefanyaje mdau.
Aisee kwenye miti hamna wajenzi. Sasa hiyo sii ndio full burudani mwanawaneEbana wandugu,
Kuna dada nimemtongoza akaniambia ni sawa amekubali lakini hataki mapenzi shatashata. Anasema kila mtu na mambo yake tuwepo kama hatupo.
Yaani kwa kifupi anasema hataki kupendwa nile mzigo tu basi.
We ungefanyaje mdau.