MUREFU
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,331
- 350
- Thread starter
- #41
Hivi mpaka anaamua kumzalisha mtu anakuwa hajampenda tu, nini kinamuogopesha kuoa? isikute anakwepa majukumu ya ndoa, ikiwa hivyo, atawezaje kulea mtoto?
Gaga kuhusu kukwepa majukumu cizan mana jamaa anauwezo wa kutosha yan amejikita vzur kias kwamba hata kama akiwa na wake wanne anaweza kuwahudumia wote ila tatzo linakuja kwanini azae na bint mdogo mana anataka mtoto kwan kasha jiona kachelewa kwenye suala la kifamilia kiukwel kumpenda huyu bint sizan mana bado anaendelea kuwafuatilia wanawake wenye umr wake au wanaomkaribia