I ibange JF-Expert Member Dec 31, 2010 1,543 550 Feb 25, 2011 #1 anatafutwa headmistress shule ya english medium ipo ukonga. awe angalao na disploma ya ualimu. piga 0719604156
anatafutwa headmistress shule ya english medium ipo ukonga. awe angalao na disploma ya ualimu. piga 0719604156
shiumiti JF-Expert Member Jun 4, 2009 435 19 Feb 25, 2011 #2 Ukonga ipi... Magereza? au Uwanja wa Ndege? au Madizini?? au? Tuweke wazi, maana kuna mtu anataka kujua kabla hajakupigia simu
Ukonga ipi... Magereza? au Uwanja wa Ndege? au Madizini?? au? Tuweke wazi, maana kuna mtu anataka kujua kabla hajakupigia simu
Polisi JF-Expert Member Nov 22, 2010 2,082 639 Feb 25, 2011 #3 Kuna umbali gani kutoka gongo la mboto
B Bajabiri JF-Expert Member Jan 1, 2011 9,730 1,201 Feb 25, 2011 #4 polisi said: Kuna umbali gani kutoka gongo la mboto Click to expand... hahahahahahahah,kama ni ukonga ujue ndo UKANDA HUOHUO
polisi said: Kuna umbali gani kutoka gongo la mboto Click to expand... hahahahahahahah,kama ni ukonga ujue ndo UKANDA HUOHUO
S Sometimes JF-Expert Member Dec 28, 2010 4,536 1,126 Feb 25, 2011 #5 Kitaifa, Mkoa, Wilaya, Kata na Kitongoji ni yangapi kwa matokeo ya mitihani mwaka uliopita?
Dingswayo JF-Expert Member May 26, 2009 4,019 2,923 Feb 25, 2011 #6 Hiyo shule ni chekechea, primary au secondary? Maana angalau diploma ya ualimu....
I ibange JF-Expert Member Dec 31, 2010 1,543 550 Feb 26, 2011 Thread starter #7 Dingswayo said: Hiyo shule ni chekechea, primary au secondary? Maana angalau diploma ya ualimu.... Click to expand... hayo maswali yote yatajibiwa na mhusika kama mtu yupo serious awasiliane nae
Dingswayo said: Hiyo shule ni chekechea, primary au secondary? Maana angalau diploma ya ualimu.... Click to expand... hayo maswali yote yatajibiwa na mhusika kama mtu yupo serious awasiliane nae