Anatafuta mkopo, ana viwanja vyenye hati

Anatafuta mkopo, ana viwanja vyenye hati

CHE GUEVARA-II

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2010
Posts
571
Reaction score
157
Kuna jamaa anatafuta mkopo wa 15,000,000 - 20,000,000.
Ana viwanja vinne vilivyopo eneo moja (square), kila kiwanja kina 35mx35m
Thamani ya kiwanja ni 5,000,000 - 7,000,000.
Viwanja vina hati miliki toka serikalini (siyo serikali ya kijiji) - kuna beacons
Viwanja viko pamoja na viwanja vingine zaidi ya 400 vilivyopimwa - so haitarajiwi kuwa sehemu ya squatters.

Viwanja viko Visiga-Kibaha (2-2.5km toka Morogoro road).

Jamaa anajenga nyumba ambayo kwa sasa ina thamani ya >40,000,000 lkn eneo analojenga bado halijapimwa ingawa kuna makazi ya watu. Ana gari yenye thamani ya 5,000,000.

Ana reliable income ya >2,000,000 kwa mwezi.

MSAADA: Ni wapi na vipi anaweza kukopeshwa hiyo 15-20M kwa kutumia dhamana ya viwanja vyake hivyo?
 
Mkuu kuwa makini na street money lenders hao ndio wanakopesha pesa against collateral kama kiwanja, nyumba na gari wao wanakupa 1/2 ya value ya collateral yako wakiwa na lengo lakuchukuwa collateral yako kwa bei ndogo huku wakikutoza interest kubwa ambao itasababisha ushindwe kulipa hilo deni nasikia na wengine wanakwenda kwa SANGOMA ILI USHINDWE KULIPA DENI. BENKI WANAKOPESHA BIASHARA YAKO WANA ANGALIA CASHFLOW YAKO THEN COLLATERAL NDIO INAFUATA KAMA SECOND LINE OF DEFENCE, PIYA KAMA UNAFANYA KAZI UNAWEZA KWENDA BENKI UKAPEWA SALARY LOAN AMBAYO IANKUWA DEDUCTED KUTOKA KATIKA MSHAHARA WAKO. CHONDE CHONDE OGOPA STREET MONRY LENDERS UTAPOTEZA VIWANJA VYAKO.
 
na kwanini ukope uweke bond viwanja?...uza viwanja vyako chukuwa pesa yako fanya mambo yako...strictly no strings attached. hakuna mambo ya riba wala kuanza kurudisha deni...unakuwa mtumwa wa madeni yasiyo na msingi.
 
Back
Top Bottom