N Neighbor Member Apr 16, 2013 27 7 May 3, 2013 #2 Weweeee! Usinitishie na vibuyu vyako sikuogopi jombaa!
kabanga JF-Expert Member Dec 12, 2011 37,208 18,476 May 3, 2013 #3 Hajui kama jamaa amezaliwa katika familia yenye majini ....
ameline JF-Expert Member Jan 8, 2013 2,292 1,149 May 3, 2013 #4 dawa ya anayejifanya mchawi usimwogope, kuwa jasiri uone.,
kawakama JF-Expert Member Nov 6, 2010 1,299 391 May 4, 2013 #5 jamaa anapigwa mkwara hapo...anaambiwa pamoja na kihirizi chako sikuogopi
snochet JF-Expert Member Mar 31, 2011 1,407 1,110 May 4, 2013 #7 duh,huyo mwenye kibuyu anafanana sana na bossi wangu
St. Paka Mweusi JF-Expert Member Sep 3, 2010 7,639 4,527 May 4, 2013 #8 Dawa ya mchawi ni mupanga tu,wewe chukua mupanga wako kisha anza kuunoa hadharani wala usisema na mtu....
Dawa ya mchawi ni mupanga tu,wewe chukua mupanga wako kisha anza kuunoa hadharani wala usisema na mtu....