Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,795
Chapa lapa chap kwa haraka hii sio futbori hizi ni hisiaMfano mwanamke wako anakuambia msiwasiliane kwa muda, anasema mpeane” break time “ ina make sense kweli?
Chapa lapa chap kwa haraka hii sio futbori hizi ni hisiaMfano mwanamke wako anakuambia msiwasiliane kwa muda, anasema mpeane” break time “ ina make sense kweli?
Wa kwangu aliondoka halafu wazazi wake wakadai tupeane mapumziko ya muda mrefu Kama miaka miwili ili tusomane. Nikajitahidi nikamrudisha baada ya miezi mitano. Ila Sasa najuta, Bora ningekubali halafu nitafute mashine mpya.Mfano mwanamke wako anakuambia msiwasiliane kwa muda, anasema mpeane” break time “ ina make sense kweli?
Wa kwangu aliondoka halafu wazazi wake wakadai tupeane mapumziko ya muda mrefu Kama miaka miwili ili tusomane. Nikajitahidi nikamrudisha baada ya miezi mitano. Ila Sasa najuta, Bora ningekubali halafu nitafute mashine mpya.
Ila niliwaona hamnazo maana mtu mna watoto watatu mnapeanaje break. Hawa wazazi wa mjini na wasomi Wana kazi Sana.
Ila kingine mtu usioe mtu ambaye hajalelewa na baba na mama. Mtu toka mdogo amelelewa na ndugu 9 (Tisa) wa baba hajui maisha.
Hawa watoto ndo wanazinguaga haswaHahahahaha hata ambAo wapo kwenye above 25 wapo Ivoivo...huyu ana 26
😅😅😅😅😅😅😅 pole sana chiefYaan ni kwamba tulikua wapenz since tupo chuo for 3 year ila naona baada ya kua kitaa kwa takriban 1 year bila mchongo wowote naona alianza kubadirika taratibu ananijibu short short kwenye chatings afu amekua majibu yake ni ya command...sasa last week ndio aliniambia twende break time,na nkala block kama siku tano hivi,baada ya kumuuliza reason za kuniblock akaniukiza “ kwani lazima niwe nampigia simu mara kwa mara..?? Yan anajibu majibu makali sana
Spana ya kichwa😅Hukutuma meseji afu hakujibu ukiuliza akakwambia
"KWANI LAZMA KUJIBU"