Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,126
- 4,169
Muuza Kangala nina wakati mgumu sana. Maana huyu mwanamke ananichanganya. Kama miezi mitatu tulizinguana naye. Baada ya kizinguana naye mpaka leo anazingua kunipa puchi.
Mimi nikivusha wanawake anamaindi, kuna siku nilivusha mwanamke ile nataka kuchapa nikasikia anapiga simu. Sasa hivi kila nikileta wanawake lazima awasimulie mashosti zake na kulalama kwa majonzi.
Mimi nikivusha wanawake anamaindi, kuna siku nilivusha mwanamke ile nataka kuchapa nikasikia anapiga simu. Sasa hivi kila nikileta wanawake lazima awasimulie mashosti zake na kulalama kwa majonzi.