Upekee wa wanaume anapoamua kumpenda mwanamke kwelikweli. Huwa haijalishi niwapi amemkuta , atamwamin utadhan wamejuana miaka kadhaa ilopita
Shida nihuyo alochaguliwa kuaminika ....
Tatizo haya mambo, ukishayathibitisha huwa yanabaki kuzunguka zunguka kichwan na kuondoa Amani.
Humchukua Mwanaume Jasiri sana kuendelea kupenda kwa kipimo kile kile , na anayeweza hapa, ataweza hata kuishi na mdada mwenye mtoto.
Anyway ,unamsamehe ndio, lkn shida atafanyaje umuamin ? ( inabaki ni imani tu).
Unamsamehe, lkn je shida anazozisemea kwao zimeisha ??.
Aya, akiamua kua anakushirikisha shida zake, je utazitatua ? Au wee kumpa pesa ni pale utakapokua unakutana naye tu siku hiyo unakula mzigo nandipo unampa naela ??.....ataishije sasa ???.
Mambo ni Mengi sana, na mambo yana changanya sana..
Ila mwisho, Hamnaga sababu ya kuhalalisha MTU KUCHEPUKA ,haipo haipo haipo..... Kwann usiombe mtaji?...
Mtoa mada Fanya kitu kimoja, wakati Fulani ni ngumu, Ila ukweli nikwamba kuna baadhi ya watu wakiomba msamaha humaanisha , embu mpe nafasi nyingine, na wewe sasa JITAHIDI KADIRI ya uwezo wako ,umwondelee "Ushawishi anaoupata" ili asiseme "Nilichepuka sababu ya kitu Fulani ".... ikiwezekana na ujitambulishe .
Kuna watu ni wachepukaji hodari hao nahautakaa ujue !.
Sent using
Jamii Forums mobile app