anapenda wezere

huyo rafiki yangu alishawishiwa na dem wake wenyewe wanapenda sana
 
Mi huwa siamini hata neno moja analoongea mzabzab.
Zaidi naonaga anatuchangamshia jamvi tu.

wee una akili sana...itabidi nikuoe alafu na signature yako inaonyesha kuwa sio mwanamke wa migegedo bali mwanamke wakuolewa
 
kumbe wezere ni kabaang...........nilikuwa sijajua! mtz one nenda kwa wajeda wa M23 tu ukirudi huna hamu........
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…