mr pipa
JF-Expert Member
- Jul 26, 2021
- 4,287
- 9,170
Wakuu nimekuja mnipe ushauri na mbinu za kumshawishi.
Ipo hivi kiufupi kuna binti mmoja hivi hapa kitaa ni jirani yangu toka ni mu aproch kuna kama mwaka sasa. Na kila akiwa na shida hunicheki bila hiyana namsaidia mpaka sasa imenitoka kama laki 6 hivi. Ila kila nikiomba mbususu hunijibu hivi, huoni mambo ya kuyaongelea mpaka uongee huo ujinga.
Sio siri huwa napigwa na butwaa hivi na kujiuliza maswali mengi ananichukuliaje ikafikia kipindi nikamwambia kama ni hivyo hebu fanya mambo yako tusitafutane.
Matokeo yake huwa ananilalamikia sana kwanini namfanyia hivyo kuna siku nilipatwa na jazba nikamla makofi lakini bint kasema hata iweje ananipenda, na ni kweli vitendo vyake vinaonyesha ananipenda.
Sasa wakuu lengo la mapenzi ni penzi, swala la kuoa baadae baada ya kutest mitambo. Nitumie mbinu gani za ushawishi ili nimle?
Ipo hivi kiufupi kuna binti mmoja hivi hapa kitaa ni jirani yangu toka ni mu aproch kuna kama mwaka sasa. Na kila akiwa na shida hunicheki bila hiyana namsaidia mpaka sasa imenitoka kama laki 6 hivi. Ila kila nikiomba mbususu hunijibu hivi, huoni mambo ya kuyaongelea mpaka uongee huo ujinga.
Sio siri huwa napigwa na butwaa hivi na kujiuliza maswali mengi ananichukuliaje ikafikia kipindi nikamwambia kama ni hivyo hebu fanya mambo yako tusitafutane.
Matokeo yake huwa ananilalamikia sana kwanini namfanyia hivyo kuna siku nilipatwa na jazba nikamla makofi lakini bint kasema hata iweje ananipenda, na ni kweli vitendo vyake vinaonyesha ananipenda.
Sasa wakuu lengo la mapenzi ni penzi, swala la kuoa baadae baada ya kutest mitambo. Nitumie mbinu gani za ushawishi ili nimle?