Anapata orgasm akimnyonyesha mtoto!!! ushauri plz

Leornado

JF-Expert Member
Nov 12, 2010
1,529
196
Kwa kweli naona aibu sana hata kuhadithia matatizo yangu hadharani ila imenibidi.

Mimi ni dada wa miaka 32 ,nimejifungua mwezi uliopita.
Sijui ni kwanini kwa kweli ila kila ninapomnyonyesha mwanangu nakuwa Napata orgasm. Yani najisikia vibaya sana jamani, sielewi kwanini nakuwa ninacome kila ninapomyonyesha mtoto, yani orgasm zenyewe ni zile ambazo zinakuwa very strong yani sijawahi kuzipata kama hizi huko nyuma nikiwa shughulini na mume wangu, mpaka sometimes najikuta nakauka mwili mzima kuna siku moja karibia nimdondoshe mtoto.imefikia pahala nikitaka kumyonyesha mtoto mpaka nijifungie chumbani niwe peke yangu ili mtu asinione ninavyotetemeka.
Hichi kitu kinanisumbua sana ,sijamwambia mtu yoyote hata mume wangu nimeshindwa kumueleza .ningependa kujua je kuna mwanamke yoyote ambae amewahi kuexpirience hichi kitu, je itaisha yenyewe au niende kwa doctor?
Naombeni ushari tafadhali najiona kama namuabuse mtoto wangu ila pia kuacha kumnyonyesha naona kama nitakuwa namkosesha kitu muhimu.

Great thinkers plz, wadada is this a normal thing? nimeguswa na huyu dada sana.

source;
 
Kwa kweli naona aibu sana hata kuhadithia matatizo yangu hadharani ila imenibidi.

Mimi ni dada wa miaka 32 ,nimejifungua mwezi uliopita.
Sijui ni kwanini kwa kweli ila kila ninapomnyonyesha mwanangu nakuwa Napata orgasm. Yani najisikia vibaya sana jamani, sielewi kwanini nakuwa ninacome kila ninapomyonyesha mtoto, yani orgasm zenyewe ni zile ambazo zinakuwa very strong yani sijawahi kuzipata kama hizi huko nyuma nikiwa shughulini na mume wangu, mpaka sometimes najikuta nakauka mwili mzima kuna siku moja karibia nimdondoshe mtoto.imefikia pahala nikitaka kumyonyesha mtoto mpaka nijifungie chumbani niwe peke yangu ili mtu asinione ninavyotetemeka.
Hichi kitu kinanisumbua sana ,sijamwambia mtu yoyote hata mume wangu nimeshindwa kumueleza .ningependa kujua je kuna mwanamke yoyote ambae amewahi kuexpirience hichi kitu, je itaisha yenyewe au niende kwa doctor?
Naombeni ushari tafadhali najiona kama namuabuse mtoto wangu ila pia kuacha kumnyonyesha naona kama nitakuwa namkosesha kitu muhimu.

Great thinkers plz, wadada is this a normal thing? nimeguswa na huyu dada sana.


Je, huyo dada kakutuma ulete hii post JF? Kama sivyo, hii habari umeitoa wapi?
 
nafikiri sio peke yake kuna baadhi ya wadada wanapata hii,angeacha kunyonyesha
 
Ushauri tu asiache kunyonyesha,kwa kuwa atakuwa anamkatili mtoto haki yake,na ajielewe kuwa hamu yake ya tendo iko kwenye tits kwa kiasi kikubwa na ajitahidi kuona wataalamu wa afya hasa madaktari wa wanawake watamsaidia zaidi kukabiliana na hali hiyo.
 
Pole mpwa, duniani kuna mambo, I think and believe the best thing to overcome nikuondoa hisia za mapenzi na kuweka za mtoto...mchukulie kama mtoto na sio kama uko na mumeo anakunyonya maziwa! halafu concetrate kwene kunyonyesha sio kwenye ngono, ondoa wazo kwamba " I wish angekua ni mume wangu ndo ananinyonya"....pia muombe MUNGU atakusaidia! ULALE UNONO
 
hakuna ushauri mzuri kama wa kitaalamu, kamuone daktari hakuna tatizo lisilo na jibu.
 
Ushauri tu asiache kunyonyesha,kwa kuwa atakuwa anamkatili mtoto haki yake,na ajielewe kuwa hamu yake ya tendo iko kwenye tits kwa kiasi kikubwa na ajitahidi kuona wataalamu wa afya hasa madaktari wa wanawake watamsaidia zaidi kukabiliana na hali hiyo.

well said paka, ila unanikwaza na hili jina lako pamoja na maandish meusi. Ila uwa unatoa mapoint ya ukweli
 
]Kwa kweli naona aibu sana hata kuhadithia matatizo yangu hadharani ila imenibidi.[/COLOR]

Mimi ni dada wa miaka 32 ,nimejifungua mwezi uliopita.
Sijui ni kwanini kwa kweli ila kila ninapomnyonyesha mwanangu nakuwa Napata orgasm. Yani najisikia vibaya sana jamani, sielewi kwanini nakuwa ninacome kila ninapomyonyesha mtoto, yani orgasm zenyewe ni zile ambazo zinakuwa very strong yani sijawahi kuzipata kama hizi huko nyuma nikiwa shughulini na mume wangu, mpaka sometimes najikuta nakauka mwili mzima kuna siku moja karibia nimdondoshe mtoto.imefikia pahala nikitaka kumyonyesha mtoto mpaka nijifungie chumbani niwe peke yangu ili mtu asinione ninavyotetemeka.
Hichi kitu kinanisumbua sana ,sijamwambia mtu yoyote hata mume wangu nimeshindwa kumueleza .ningependa kujua je kuna mwanamke yoyote ambae amewahi kuexpirience hichi kitu, je itaisha yenyewe au niende kwa doctor?
Naombeni ushari tafadhali najiona kama namuabuse mtoto wangu ila pia kuacha kumnyonyesha naona kama nitakuwa namkosesha kitu muhimu.

Great thinkers plz, wadada is this a normal thing? nimeguswa na huyu dada sana.

Your age plz?? Maana naona unachanganya mada sana mara wewe mara rafiki yako. SIKUELEWI
 
Duniani kuna mambo. Mmeulizwa akina dada,je hii ni normal? Nakushauri ukamwone daktari au mnasihi.
 
Under 18 at work wasituchoshe akili hawa.

sioni issue kabisa.

Kama umezaa na mtoto anataka kunyonya unaweza kweli kumfikiria baba yake??
Na kufikia orgasim??? Serengeti boys/girls hapa sioni cha kudisikasi
 
Ushauri tu asiache kunyonyesha,kwa kuwa atakuwa anamkatili mtoto haki yake,na ajielewe kuwa hamu yake ya tendo iko kwenye tits kwa kiasi kikubwa na ajitahidi kuona wataalamu wa afya hasa madaktari wa wanawake watamsaidia zaidi kukabiliana na hali hiyo.

Ushauri mzuri sana, paka mweusi we ni bf kansela? Mtoto aendelee kunyonya hata kwa kumkamulia maziwa na kufuata ushauri wa usafi kama itashindika kupata ufumbuzi. Mtoto asiponyonya vizuri miezi 6 ya mwanzo madhara yataoneka akifikisha mwaka 1. Pole mwaya!
 
Sina mtoto,ushauri wangu,usiache kumnyonyesha mwanao,maziwa ya mama yanajenga kinga ya mwili ya mwanao......PLEASE!!!

Pole sana!
 
Under 18 at work wasituchoshe akili hawa.

sioni issue kabisa.

Kama umezaa na mtoto anataka kunyonya unaweza kweli kumfikiria baba yake??
Na kufikia orgasim??? Serengeti boys/girls hapa sioni cha kudisikasi

Whomever that person is may have a legitimate problem and it is imprudent for you to just dismiss and trivialize at prima facie what could very well be a genuine issue. Think about it....
 
I think and believe the best thing to overcome nikuondoa hisia za mapenzi na kuweka za mtoto...mchukulie kama mtoto na sio kama uko na mumeo anakunyonya maziwa! halafu concetrate kwene kunyonyesha sio kwenye ngono, ondoa wazo kwamba " I wish angekua ni mume wangu ndo ananinyonya"....
Ni kweli kabisa hisia zihamie kwa mtoto hata kisohiari kitafanya kazi vizuri. Kunyonyesha ni concentration nna wasiwasi na kiasi cha maziwa anayotoa pia. Angetueleza na nutrition status ya mtoto tuone kama hilo zoez linamuathiri .
 
Whomever that person is may have a legitimate problem and it is imprudent for you to just dismiss and trivialize at prima facie what could very well be a genuine issue. Think about it....

Mmmmhh then what????

Vous êtes tant vous jeunes garçons et les jeunes filles prétendant juste comme vous êtes. Aller et ne jamais revenir encore vous a aucun n'importe quel point
 
Whomever that person is may have a legitimate problem and it is imprudent for you to just dismiss and trivialize at prima facie what could very well be a genuine issue. Think about it....

Me donne la réponse comme vous avez été demandé avant d'est vous n'êtes pas un enfantin ? Ne jamais jouer avec la vieille personne que vous ne savez pas wright le jeune garçon
 
Mmmmhh then what????

Vous êtes tant vous jeunes garçons et les jeunes filles prétendant juste comme vous êtes. Aller et ne jamais revenir encore vous a aucun n'importe quel point

Ahene nkima ebhe lekaga imihayo yako nu bhudoshi bhoko. Unene nagutogilwe gete gete. Managa giko lulu..
 
Si ya kucheka ila hii kali. Kama sio stori ya kuchekesha watu tu, basi mambo makubwaaa!!

Hivi huyo mtoto ananyonya kikawaida, yaani kitoto toto kama anavyonyonya mtoto mchanga au ananyonya kivipi?

Pili huyo mnyonyeshaji haipendi hiyo hali? hapo nimesoma alikuwa hajawahi kuzipata kama hizi..sasa Alikuwa haombi kwa mungu amletee hiyo hali? pengine alikosea katika maombi yake...

Kama ni kitu cha kuendelea na kama mtoto ananyonya kitoto basi amkamulie maziwa ndani ya chupa halafu ampe kutokea chupani.
Taabu ikizidi ampe ya kopo au ya ng'ombe..
Hata hivyo ana bahati sana , yaani anasikia raha yeye binafsi na anasikia raha ya umama ya kumnyonyesha mtoto wake, ajiihesabu kuwa ana bahati sana.

Mambo yakimzidi apate ushauri kwa daktari!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom