Mshaurini huyu dada, ana matatizo ya orgasm

nyamagaro

JF-Expert Member
Feb 25, 2010
394
101
Habari zeni


Kwa kweli naona aibu sana hata kuhadithia matatizo yangu hadharani ila imenibidi.

Mimi ni dada wa miaka 32 ,nimejifungua mwezi uliopita.
Sijui ni kwanini kwa kweli ila kila ninapomnyonyesha mwanangu nakuwa Napata orgasm. Yani najisikia vibaya sana jamani, sielewi kwanini nakuwa ninacome kila ninapomyonyesha mtoto, yani orgasm zenyewe ni zile ambazo zinakuwa very strong yani sijawahi kuzipata kama hizi huko nyuma nikiwa shughulini na mume wangu, mpaka sometimes najikuta nakauka mwili mzima kuna siku moja karibia nimdondoshe mtoto.imefikia pahala nikitaka kumyonyesha mtoto mpaka nijifungie chumbani niwe peke yangu ili mtu asinione ninavyotetemeka.

Hichi kitu kinanisumbua sana ,sijamwambia mtu yoyote hata mume wangu nimeshindwa kumueleza .ningependa kujua je kuna mwanamke yoyote ambae amewahi kuexpirience hichi kitu, je itaisha yenyewe au niende kwa doctor?

Naombeni ushari tafadhali najiona kama namuabuse mtoto wangu ila pia kuacha kumnyonyesha naona kama nitakuwa namkosesha kitu muhimu.
 
Duh! Kuna dada mmoja naye aliwahi kupata tatizo kama lako. Ngoja nimtafute nimuulize liliishaje. Pole sana!
 
Some posts deleted becomes the above thread was in the wrong forum and hence some members commented by suggesting it be moved. Endeleeni na mjadala wakuu.
 
Many women who breastfeed have the experience of feeling aroused, and even having an orgasm, while breastfeeding. But because this is something researchers haven’t studied, and it isn’t a regular part of the education of mothers-to-be, many women experience this and then feel silent shame or guilt, as if there is something wrong with them. But there is a very clear reason for the experience and women neither need to feel shame or embarrassment about it which is caused mostly by a lack of information.
 
nakushauri nenda kaonane na dactor uone atakushauri nini..usifiche ugonjwa dada..ulakuletea shida mbeleni..
 
Bana mwambie akamue tu hayo maziwa ampe mwanawe kwa chupa, itamtesa sa kisaikolojia siku akianza kukompea mtoto na baba katika kumfikisha kileleni.
 
Kuna Hormone OXYTOCIN ambayo huwa ina stimulate utoaji wa maziwa kutoka kwenye matiti(ejection of milk from the nipples), hii inaweza ikawa ni kwa sababu ya breast stimulation ( pindi mtoto anapokuwa ananyonya chuchu au anapokuwa anazichezea).
Wakati huo huo Oxytocin inaweza kumfanya mwanamke kuwa feeled relaxed and satiation following orgasm. It is thought that this is the reason that breastfeeding may produce feelings of sexual arousal and orgasm.
Katika utafiti mmoja USA uligundua kuwa orgasm during brest feeding ni kitu kinachowatokea wanawake wengi tu, hivyo nakuomba usijifikirie vibaya, wala huna haja ya kwenda kumwona doctor kwani kuna mda hilo swala litaacha tu lenyewe.
In a 2000 study of breastfeeding women, 40.5% of the participants reported feeling sexually aroused at some point during infant suckling. 16.7% reported being aroused frequently during breastfeeding.
Kama kuna swali karibu sana.
 
wala asimwachiche huyo mtoto haki yake kwani hana matatizo yeyote, hilo ni suala la ki-physiolijia zaidi wala haliendani na maadili hata kidogo.Jaribu kusoma jibu n ililomjibu huyo dada.
Bana mwambie akamue tu hayo maziwa ampe mwanawe kwa chupa, itamtesa sa kisaikolojia siku akianza kukompea mtoto na baba katika kumfikisha kileleni.
 
There is nothing to be embarrassed about.
It's a normal physiological response to lactation hormones. Breastfeeding feels good! If it didn't, very few mothers would do it. It might help to understand just what hormonal responses are taking place.

As your baby nurses, prolactin - known as the "mothering hormone" - stimulates the body to manufacture milk. This hormone gives you a feeling of relaxation and well-being. Oxytocin, another hormone secreted during breastfeeding, causes the alveoli to contract, releasing milk into the ducts, the milk sinuses, and your baby's mouth. This hormone is responsible for the tingling sensation some mothers feel before a milk ejection reflex, or letdown, and the postpartum uterine cramping felt while breastfeeding.

Oxytocin also causes labor contractions during childbirth and pleasure contractions during orgasm. Varying amounts of oxytocin are attributed to these different contractions. The arousal you describe while nursing may also be the result of the empowerment and satisfaction you feel knowing that you are meeting all of your daughter's nutritional and emotional needs at the breast.
 
wala asimwachiche huyo mtoto haki yake kwani hana matatizo yeyote, hilo ni suala la ki-physiolijia zaidi wala haliendani na maadili hata kidogo.Jaribu kusoma jibu n ililomjibu huyo dada.

sijasema amwachishe, bali atumie vifaa vya kukamua maziwa yake, ndipo ampatie mtoto, hili swala linaendana sana na maadili ndio maana hata katika jibu lako ulisema ni matatizo yanayo wapata wanawake lakini wengi wao huficha.
 
Aisee pole sana dada, Kama wewe ni Mtu unayemwamini Mungu basi Muombe mungu akusaidie na unapoomba amini kwamba yeye anaweza. Nadhani itasaidia kabisa, mimi ni mwanamke mwenzio na nina mtoto ila hiki kitu sijaki experience kabisa. Kama wewe ni mkristo au kama siyo mkristo waweza kwenda kwenye maombezi ya watumishi wa Mungu na nenda ukiwa na imani Mungu atajibu maombi yako.
Na mie nitakuombea kwa Mungu wangu ninayemwamini.
 
Bana mwambie akamue tu hayo maziwa ampe mwanawe kwa chupa, itamtesa sa kisaikolojia siku akianza kukompea mtoto na baba katika kumfikisha kileleni.

It is absolutely normal! As for the negative responses, just because you have a physical feeling of arousal does not mean that you are having sexual feelings toward your child, so it is not inappropriate! Prolactin is a great added benefit to nursing that allows a mom to relax and enjoy nursing. Do not be embarrassed!
 
Mimi si mwanamke lakini naweza elezea kwanini inatokea hivyo, wengine pia watashauri. Hilo ni swala la kisaikolojia tu hapana shida nyingine, ni kwamba eneo lako sensitive linalo amshia hisia za kimapenzi na kukupelekea kwenye orgasm. Hapa yawezekana wewe na mpenzio wakati wa maandalizi mwenzi wako huchezea matiti na pengine kwa kuyanyonya, ndiyo maana mtoto akinyonya ubongo wako unakumbuka yale maandalizi kuelekea kwenye tendo ndo maana unajikuta umeingia katika hali hiyo. Nini cha kufanya nadhani wanasaikolojia wanahitajika kukuweka sawa. Hayo ndiyo mawazo yangu
 
This isnt a psychology but is a physiology point of view, nisome vizuri maelezo yangu hapo juu.
Mimi si mwanamke lakini naweza elezea kwanini inatokea hivyo, wengine pia watashauri. Hilo ni swala la kisaikolojia tu hapana shida nyingine, ni kwamba eneo lako sensitive linalo amshia hisia za kimapenzi na kukupelekea kwenye orgasm. Hapa yawezekana wewe na mpenzio wakati wa maandalizi mwenzi wako huchezea matiti na pengine kwa kuyanyonya, ndiyo maana mtoto akinyonya ubongo wako unakumbuka yale maandalizi kuelekea kwenye tendo ndo maana unajikuta umeingia katika hali hiyo. Nini cha kufanya nadhani wanasaikolojia wanahitajika kukuweka sawa. Hayo ndiyo mawazo yangu
 
hapa hakuna swala la maadili kwani yeye sio wa kwanza kutokewa, hivyo hana budi ya ku-fee guilty because a physical feeling of arousal does not mean that you are having sexual feelings toward your child
sijasema amwachishe, bali atumie vifaa vya kukamua maziwa yake, ndipo ampatie mtoto, hili swala linaendana sana na maadili ndio maana hata katika jibu lako ulisema ni matatizo yanayo wapata wanawake lakini wengi wao huficha.
 
Hilo si jambo la ajabu au la kukufanya uogope na kuona aibu kwani hata hivyo una bahati sana kwani akina dada wengine wanapata matatizo makubwa kama mkandamizo wa mawazo baada ya kujifungua(POSTNATAL DEPRESSION) wengine Wanapata kichaa cha muda(POSTNATAL PSYCHOSIS ie PUEPERAL PSYCHOSIS) tatizo lako ni dogo kwani linapungua kadri muda unavyoenda na mwishowe kuisha kabisa bila hata dawa
Sababu za tatizo lako halifanyiwa utafiti wa kutosha lakini inasadikiwa ni kutokana na mabadiliko ya gafla ya mfumo wa vichocheo(hormone).
Ukiwa na mimba kuna 'a series of complex hormonal changes 'hizi ndo zinasaidia ukuaji wa mimba sasa mama anapojifungua kama kawahi au katumia operesheni mwili unashindwa ku cope na hii 'immediate termination of hormonal action' matokeo yake matatizo kama hayo yanaweza tokea na hii ni pale mwili unapotaka ku balance yale mabadili,hormonal balance and feedback action,uzuri ni kwamba baada ya muda unakuwa sawa cha msingi ni kujiamini na endelea kumnyonyesha kama utashindwa ingawa haishauriwi sana,mwachishe ziwa na tafuta ushauri kwa manesi/wakunga wa jinsi ya kumhudumia kwa maziwa mengine
Pole sana
 
What information can you clarify


Many women who breastfeed have the experience of feeling aroused, and even having an orgasm, while breastfeeding. But because this is something researchers haven't studied, and it isn't a regular part of the education of mothers-to-be, many women experience this and then feel silent shame or guilt, as if there is something wrong with them. But there is a very clear reason for the experience and women neither need to feel shame or embarrassment about it which is caused mostly by a lack of information.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom