Habari zeni
Kwa kweli naona aibu sana hata kuhadithia matatizo yangu hadharani ila imenibidi.
Mimi ni dada wa miaka 32 ,nimejifungua mwezi uliopita.
Sijui ni kwanini kwa kweli ila kila ninapomnyonyesha mwanangu nakuwa Napata orgasm. Yani najisikia vibaya sana jamani, sielewi kwanini nakuwa ninacome kila ninapomyonyesha mtoto, yani orgasm zenyewe ni zile ambazo zinakuwa very strong yani sijawahi kuzipata kama hizi huko nyuma nikiwa shughulini na mume wangu, mpaka sometimes najikuta nakauka mwili mzima kuna siku moja karibia nimdondoshe mtoto.imefikia pahala nikitaka kumyonyesha mtoto mpaka nijifungie chumbani niwe peke yangu ili mtu asinione ninavyotetemeka.
Hichi kitu kinanisumbua sana ,sijamwambia mtu yoyote hata mume wangu nimeshindwa kumueleza .ningependa kujua je kuna mwanamke yoyote ambae amewahi kuexpirience hichi kitu, je itaisha yenyewe au niende kwa doctor?
Naombeni ushari tafadhali najiona kama namuabuse mtoto wangu ila pia kuacha kumnyonyesha naona kama nitakuwa namkosesha kitu muhimu.
Kwa kweli naona aibu sana hata kuhadithia matatizo yangu hadharani ila imenibidi.
Mimi ni dada wa miaka 32 ,nimejifungua mwezi uliopita.
Sijui ni kwanini kwa kweli ila kila ninapomnyonyesha mwanangu nakuwa Napata orgasm. Yani najisikia vibaya sana jamani, sielewi kwanini nakuwa ninacome kila ninapomyonyesha mtoto, yani orgasm zenyewe ni zile ambazo zinakuwa very strong yani sijawahi kuzipata kama hizi huko nyuma nikiwa shughulini na mume wangu, mpaka sometimes najikuta nakauka mwili mzima kuna siku moja karibia nimdondoshe mtoto.imefikia pahala nikitaka kumyonyesha mtoto mpaka nijifungie chumbani niwe peke yangu ili mtu asinione ninavyotetemeka.
Hichi kitu kinanisumbua sana ,sijamwambia mtu yoyote hata mume wangu nimeshindwa kumueleza .ningependa kujua je kuna mwanamke yoyote ambae amewahi kuexpirience hichi kitu, je itaisha yenyewe au niende kwa doctor?
Naombeni ushari tafadhali najiona kama namuabuse mtoto wangu ila pia kuacha kumnyonyesha naona kama nitakuwa namkosesha kitu muhimu.