hekimatele
JF-Expert Member
- May 31, 2011
- 9,889
- 2,799
mtoa mada!don worry,hayo mambo yapo, even mi niliombewa ndo yakasepa,na ndo nikajua tabia nyingi nilizokuwa nazo yalikuwa yanasababisha,bt nw im ok....!mf,wivu kupita kiasi,hasira/kisirani/mahusiano kuvunjika bila sababu ya msingi etc.
Ss basi,Hili tatizo ni kubwa kuliko watu wanavyofikiria,wanafikiri wadada wanavyochelewa kuolewa wanajitakia o hawajatulia o hakuna anaewataka!,No,hayo madude ni noma na usiposimama na Mungu utashangaa,maana yenyewe hayataki kushare.
ONYO,usiende kwa mganga atakuongezea mengine, only Jesus can rescue, nenda kaombewe popote ambapo unapaamini,ukishindwa ni PM km upo serious nitakusaidia.
..NB:hata ukishaombewa,still utaelekezwa namna ya kujiombea mwenyewe,ili usimame na Mungu.
Sio kuombewa halafu ukae tu,yanarudi,lzm uwe mtu wa sala na maombi.
Nakubaliana na huu ushauri 100 mia
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums