Moyibi
JF-Expert Member
- May 11, 2012
- 1,054
- 702
NINA JINI MAHABA ANANIFANYA
VIZURI KIASI SITAMANI
MWANAUME YOYOTE..HELP PLIZ
Mimi ni msichana wa miaka 29 , nina tatizo
ambalo limenifanya mpaka sasa sijaolewa na
umri unakwenda , nimekuwa nikisumbuliwa na
jina mahaba huwa linanitokea usiku wa
manane na kufanya mapenzi na mimi ..hali hii
imekuwa kwa miaka saba sasa , na cha ajabu
huwa tukifanya mapenzi katika hiyo hali huwa
naridhika kabisa yaaani acha tu kiasi kwamba
wavulana siwapendi hata kidogo na wala sisikii
raha nikifanya nao kiasi naishia
kuwaacha..nimejaribu kuwa na boyfriends
wengi tu ila mapenzi hayaduma naishia
kuwachukia .....Umri unaenda nahitaji
kuolewa ila siwapendi wavulana nawachukia
sana.....nifanyeje ili niwe msichana wa
kawaida na hili jina mahaba litoke ?
VIZURI KIASI SITAMANI
MWANAUME YOYOTE..HELP PLIZ
Mimi ni msichana wa miaka 29 , nina tatizo
ambalo limenifanya mpaka sasa sijaolewa na
umri unakwenda , nimekuwa nikisumbuliwa na
jina mahaba huwa linanitokea usiku wa
manane na kufanya mapenzi na mimi ..hali hii
imekuwa kwa miaka saba sasa , na cha ajabu
huwa tukifanya mapenzi katika hiyo hali huwa
naridhika kabisa yaaani acha tu kiasi kwamba
wavulana siwapendi hata kidogo na wala sisikii
raha nikifanya nao kiasi naishia
kuwaacha..nimejaribu kuwa na boyfriends
wengi tu ila mapenzi hayaduma naishia
kuwachukia .....Umri unaenda nahitaji
kuolewa ila siwapendi wavulana nawachukia
sana.....nifanyeje ili niwe msichana wa
kawaida na hili jina mahaba litoke ?