tang'ana
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 12,054
- 16,509
Amani ya Bwana iwe nanyi enyi watu wa Mungu!
basi tukiwa bado tunatafakari kauli ya mheshimiwa Trump kuhusu bara la Africa na watu wake,ningependa kushare nanyi huu mkasa wangu.
ways back kama miaka minne iliyopita,nilikua nadate binti flani hivi ambae kwa kipindi hicho ndio alikua kamaliza form six,well naweza kukiri mwanzo alionyesha mapenzi ya hali ya juu sana kwangu mpaka nikawa nishamwekea malengo ya kumuoa..akachaguliwa kwenda chuo huko mzumbe na mapenzi yalizidi kunoga mpaka anaingia mwaka wa pili ndio mambo yakaanza kuchange..ikafikia point kila jema nililokua namfanyia kwake ilikua kero,akaanza kuniomba vitu ambavyo kwa wakati huo mimi sikuweza kuvimudu asee..baada ya kumfanyia intelijensia kwa mara ya kwanza sikugundua kitu chochote,nikabadili mbinu za kumspy sikugundua kitu pia na wakati huo huo ndio vituko vyake ndio vikawa vinazidi...so kama ilivyo ada kwangu mie sinaga muda wa kupigizana kelele na wanawake au kubembelezana na binadamu mwenzangu..nikaamua kumchunia tu yule manzi,nae bahati nzuri akaamua kuuchuna..sasa cha kushangaza leo kaanza kunitafuta kwa fujo..kanipigia tumeongea mengi ananiambia eti sababu za kipindi kile kuwa vile ulikua ni utoto unamsumbua so kaniomba msamaha na anaomba nimpe second chance katika maisha yake ili tuweze kuendeleza pale tulipoishia.
Nimemtafakari sana leo,ofcourse naelewa huko alikokua atakua katendwa so kaamua kuja kujificha kwa boya wake(mimi) lakini pia nimefanya cost benefit analysis nimeangalia mazuri yake aliyonitendea ni mengi kuliko mabaya hivyo uwezekanao wa kupewa hiyo second chance upo,but kabla sijatoa go ahead ya mawazo yangu nikaamua niwashirikishe na nyie watu Mungu ili nisikie mnatoa mawazo gani hapa.
Asanteni
NB; ukijisikia kutukana wewe tukana tu maana Tnzania ni nchi huru but nakuonya you are not free to that extent,Mods wako kazini muda wote.
basi tukiwa bado tunatafakari kauli ya mheshimiwa Trump kuhusu bara la Africa na watu wake,ningependa kushare nanyi huu mkasa wangu.
ways back kama miaka minne iliyopita,nilikua nadate binti flani hivi ambae kwa kipindi hicho ndio alikua kamaliza form six,well naweza kukiri mwanzo alionyesha mapenzi ya hali ya juu sana kwangu mpaka nikawa nishamwekea malengo ya kumuoa..akachaguliwa kwenda chuo huko mzumbe na mapenzi yalizidi kunoga mpaka anaingia mwaka wa pili ndio mambo yakaanza kuchange..ikafikia point kila jema nililokua namfanyia kwake ilikua kero,akaanza kuniomba vitu ambavyo kwa wakati huo mimi sikuweza kuvimudu asee..baada ya kumfanyia intelijensia kwa mara ya kwanza sikugundua kitu chochote,nikabadili mbinu za kumspy sikugundua kitu pia na wakati huo huo ndio vituko vyake ndio vikawa vinazidi...so kama ilivyo ada kwangu mie sinaga muda wa kupigizana kelele na wanawake au kubembelezana na binadamu mwenzangu..nikaamua kumchunia tu yule manzi,nae bahati nzuri akaamua kuuchuna..sasa cha kushangaza leo kaanza kunitafuta kwa fujo..kanipigia tumeongea mengi ananiambia eti sababu za kipindi kile kuwa vile ulikua ni utoto unamsumbua so kaniomba msamaha na anaomba nimpe second chance katika maisha yake ili tuweze kuendeleza pale tulipoishia.
Nimemtafakari sana leo,ofcourse naelewa huko alikokua atakua katendwa so kaamua kuja kujificha kwa boya wake(mimi) lakini pia nimefanya cost benefit analysis nimeangalia mazuri yake aliyonitendea ni mengi kuliko mabaya hivyo uwezekanao wa kupewa hiyo second chance upo,but kabla sijatoa go ahead ya mawazo yangu nikaamua niwashirikishe na nyie watu Mungu ili nisikie mnatoa mawazo gani hapa.
Asanteni
NB; ukijisikia kutukana wewe tukana tu maana Tnzania ni nchi huru but nakuonya you are not free to that extent,Mods wako kazini muda wote.