Ananipinga vingiza wakati hata bado hatuja'DO'

Ananipinga vingiza wakati hata bado hatuja'DO'

jay311

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2012
Posts
2,932
Reaction score
2,725
Reajea heading hapo juu... Ni dem fulani hivi wa mjini nilikuwa na appointment naye sehemu...baada ya kukutana kwenye date ya kwanza na baada ya kupiga stori mbili tatu hivi mwanaume nikajikaza nikamtongoza... na nikambembeleza akakubali siku hiyo hiyo.... sasa cha ajabu jioni yake hiyohiyo dem akaniomba sh elf 15 akanaimbia ana tatizo nayo,basi mwanaume nikafikiria nimtumie au nisimtumie? nikajua labda ni mtego anataka kujua naweza majukumu ya kuhudumia au lah basi ikabidi tu nimtumie lakini roho iliniuma siku ya kwanza tu baada ya kumtongoza natuma hela...nikapanga kwa kuwa kashakula elfu 15 yangu nifanye mpango wa kutoka nae baada ya wiki moja na mimi nikaile "elfu 15 zake"....Cha ajabu hata hiyo wiki moja niliyomuwekea mtego wa panya haijafika (siku ya nne) dem ananiomba elfu 15 nyingine ya kwenda kusuka...Mamaaa nikajua sasa nimepata TanzaniteDigger... nikajitetea kiuongo na kweli pale kwamba majukumu yamezidi basi dem akanielewa kimtindo ikabidi niutegue mwenyewe ule mtego nisimwite wala nini...dem anaonekana sasa kapata wa kumpiga vizinge mpaka sasa nimempunguzia spidi yy bado hajasanuka hapa najiuliza nisex nae mara moja kila mtu achukue 50 zake au niachane nae kimya kimya huyu mtoto wa mjini? Kiukweli kaperform below expectations hata interval za kupiga viznga bado hajui vizuri.
 
Wewe haujampenda umemtamani huyo demu..Haujui kuhonga!?
 
Wewe haujampenda umemtamani huyo demu..Haujui kuhonga!?

mkuu si kuna utaratibu pia wa kuhonga,,huwezi gawa pesa hivi hivi kama mzazi anavyomgaia mwanawe
 
Reajea heading hapo juu... Ni dem fulani hivi wa mjini nilikuwa na appointment naye sehemu...baada ya kukutana kwenye date ya kwanza na baada ya kupiga stori mbili tatu hivi mwanaume nikajikaza nikamtongoza... na nikambembeleza akakubali siku hiyo hiyo.... sasa cha ajabu jioni yake hiyohiyo dem akaniomba sh elf 15 akanaimbia ana tatizo nayo,basi mwanaume nikafikiria nimtumie au nisimtumie? nikajua labda ni mtego anataka kujua naweza majukumu ya kuhudumia au lah basi ikabidi tu nimtumie lakini roho iliniuma siku ya kwanza tu baada ya kumtongoza natuma hela...nikapanga kwa kuwa kashakula elfu 15 yangu nifanye mpango wa kutoka nae baada ya wiki moja na mimi nikaile "elfu 15 zake"....Cha ajabu hata hiyo wiki moja niliyomuwekea mtego wa panya haijafika (siku ya nne) dem ananiomba elfu 15 nyingine ya kwenda kusuka...Mamaaa nikajua sasa nimepata TanzaniteDigger... nikajitetea kiuongo na kweli pale kwamba majukumu yamezidi basi dem akanielewa kimtindo ikabidi niutegue mwenyewe ule mtego nisimwite wala nini...dem anaonekana sasa kapata wa kumpiga vizinge mpaka sasa nimempunguzia spidi yy bado hajasanuka hapa najiuliza nisex nae mara moja kila mtu achukue 50 zake au niachane nae kimya kimya huyu mtoto wa mjini? Kiukweli kaperform below expectations hata interval za kupiga viznga bado hajui vizuri.
 
Hayo mambo tuachie sisi wakina papaa muraa!!wazee wa SIXWEEK,si tunategaga mwisho wa mwez tunawagonga na njaa zao,tarehe ikiwa mbaya tunakausha tunajifanya busy na kaz!!mwenyew anaileta bure na anakopwa had mwisho wa mwez tena!!sasa mura unakimbia nyapu kwa mizinga midogo km hyo??
 
Thread yote hii ndefu kisa elfu 15 ? ???? Woiiiiii walah wonders will never end
kila mtu ana level zake so kwa mm tshs 15000 kwa kipato changu elf 20 kwa siku ni nyingi sana kupigwa kilungu na demu wakat hata sijakula mzigo bado okay siyo kesi ka alivyosema jamaa katoa ila mzee hta week haijaisha kilungu tena noma hvyo
lazima uKIMBIE mbio ndefu

sasa mkuu hapo mtengee fungu ukiona hicho kima kimefika mf lbd elf50 na bdo hujakula mzigo kimbia mbio za marathon itakuwa anekuwin wewe na ukijipa moyo utatoboka zaidi na zaidi
 
Ni jambo la mbolea mno kuondoka 50 yako kuliko kuendelea na mtu unaemuhisi kuwa anataka kukuzia mapenzi penzi sii bishara iweje ununue.
 
kila mtu ana level zake so kwa mm tshs 15000 kwa kipato changu elf 20 kwa siku ni nyingi sana kupigwa kilungu na demu wakat hata sijakula mzigo bado okay siyo kesi ka alivyosema jamaa katoa ila mzee hta week haijsusha kilungu tena noma hvyo
Chaaaa kama per day una 20000, means per month una hela nzuri tu then unalalamikiaje 15000?
Anataka tu slope ee? unataka umchape na kuhudumia huwezi? Achia wenzio wahudumiee bro
 
Chaaaa kama per day una 20000, means per month una hela nzuri tu then unalalamikiaje 15000?
Anataka tu slope ee? unataka umchape na kuhudumia huwezi? Achia wenzio wahudumiee bro
eeeeee wajua me msela nondo kula tu kwa siku tshs elf 8 bdo vocha buku nauli 1600 ghalama za maisha ya kupanga tshs elf 3 include maji umeme Pango per day inabaki akiba nikiumwa je wazazi hujawatumia
tsh elf 2000 ndo ya kuspand na demz so kwa wiki inatka tsh elf 15 tu sasa yeye kazidisha hta week haijaisha anahalibu bajeti lazima ulalamike boy
then january hii mambo magumu sisi wamachinga
 
kila mtu ana level zake so kwa mm tshs 15000 kwa kipato changu elf 20 kwa siku ni nyingi sana kupigwa kilungu na demu wakat hata sijakula mzigo bado okay siyo kesi ka alivyosema jamaa katoa ila mzee hta week haijsusha kilungu tena noma hvyo
lazima uKIMBIE mbio ndefu

sasa mkuu hapo mtengee fungu ukiona hicho kima kimefika mf lbd elf50 na bdo hujakula mzigo kimbia mbio za marathon itakuwa anekuwin wewe na ukijipa moyo utatoboka zaidi na zaidi
Teh! kijana tulia.
 
huna hela achana na mapenzi au kama vp nenda kwa mabeki tatu
 
Huyo si size yako mkuu. Yupo next level above you. Tafuta atakaye kupiga mzinga wa buku au jero.
 
Back
Top Bottom