KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,769
- 39,536
Mkuu wakati huu wa digital nyungo zimekuwa adimu sana..kwa hiyo hawavunji ungo bali wanavunja vikombe na sahani za udongo.duh form three huyo hata ungo keshavunja kweli..........acheni kutuharibia watoto wetu jamani