Ananipenda lakini nimemzidi miaka saba!

Ananipenda lakini nimemzidi miaka saba!

Kuna kabiti kapo form 3 na mimi nko chuo nafanya digrii kananipenda lakini nahofia ntachukuliwa mimi napenda watoto!

duh form three huyo hata ungo keshavunja kweli..........acheni kutuharibia watoto wetu jamani
 
huo ni mtihan,ukiushinda Mungu anakupandisha daraja,majaribu yapo mengi,hilo nalo ni jaribu.unakitu kizur ambacho Mungu amewekeza ila shetan anataka kukuondolea.ninaamini kwa uweza wa Mungu utashinda.
 
Kuna kabiti kapo form 3 na mimi nko chuo nafanya digrii kananipenda lakini nahofia ntachukuliwa mimi napenda watoto!
Kama unapenda watoto si uzae wako..???!!! Yaani Form 3 na Degree halafu unakuja kuuliza humu JF... Hapo ulipofika kwenye hiyo degree yako hapajakusaidia....
 
Form III? Jamani jamani!
We New Manase, hako katoto kameshajua kuoga na kutakata?
Pls, wahurumie wazazi... mwambie asome.. aachane na mapenzi!
 
Last edited by a moderator:
Form III? Jamani jamani!
We New Manase, hako katoto kameshajua kuoga na kutakata?
Pls, wahurumie wazazi... mwambie asome.. aachane na mapenzi!
kweli mkuu kwan hata mimi nimepitia shda so naelewa wazazi wanavyojinyima kwaajili ya watoto, ntazd kulazmisha awe mdogo wangu 2
 
Last edited by a moderator:
huo ni mtihan,ukiushinda Mungu anakupandisha daraja,majaribu yapo mengi,hilo nalo ni jaribu.unakitu kizur ambacho Mungu amewekeza ila shetan anataka kukuondolea.ninaamini kwa uweza wa Mungu utashinda.
AMEN MTUMISHI DEIMAN asante kwa kunitia moyo Mungu akubariki, najitahidi kumtengenezea mazingira anione mimi ni Kaka yake na cyo vinginevyo!
 
me sinaga habari za kupeleka polisi
niki kufuma na mtoto wangu nakula tigo


kwa shughuri hii ya kidole007 nadhani utakuwa umeelewa mtoto sio miaka au darasa bali umiliki wa baba, kuwa makini New Manase, wakina kidole007 wapo wengi kitaa, watch your steps!!!!!
 
kwa shughuri hii ya kidole007 nadhani utakuwa umeelewa mtoto sio miaka au darasa bali umiliki wa baba, kuwa makini New Manase, wakina kidole007 wapo wengi kitaa, watch your steps!!!!!
hahahahahahahaha! Naomba nieleweke hivi huyu dogo mimi cna feelingz nae mimi tayar ninaye wangu
 
Back
Top Bottom