Ananipenda lakini nimemzidi miaka saba!

Ananipenda lakini nimemzidi miaka saba!

Kuna kabiti kapo form 3 na mimi nko chuo nafanya digrii kananipenda lakini nahofia ntachukuliwa mimi napenda watoto!



Sasa kwani uwongo, si unapenda watoto au? Ulimjuaje na ikawaje mpaka afikie kukupenda wewe kwani unataka kutuambia hakuona wengine zaidi yako au? Wewe inabidi ufungwe kwa kulawiti watoto, tena mwanafunzi wa form III? Ngoja nikutafutie Green Guards wa Nape waje kwako mida hii, haufai kabisa wewe kwani ni mwaribifu tu wa watoto wa watu.
 
Jamani basi hata hili pia unahitaji ushauri? Kama angekua mdogo wako wa kike ungemfanyaje huyo jamaa anae jaribu kutakaa kufanya vituko Kama vyako?
 
mjibu hivi .......

Now this one is reserved for
18 and over,
18 and over
Hmmm yeahh
Girl, won't you go home
Go home to your mama,
your mama
Go home to your papa, your
papa
You too young to be me
lover
To be seh me lover, oooh
You must be 18 and over
I've been checking you out
but you are too young girl
And a girl like you will bring
problems into my world
Cause if I pick you up girl
it's pain an misery, for me
Cause you are a girl and
that is so rude, as rude as
can be
Go home to your mama,
your mama
Go home to your papa, your
papa
You are too young to be my
lover
To be seh me lover
Oohh yeah oooh yeah
hmmm
Talking to your sandra
Talking to your charma
Or even marcia...
You are too young to be my
lover
Girl, won't you go home [? ]
Go home to your mama,
your mama
Go home to your papa, your
papa
Check me two years later
[x2]
Oooh hey
To young to be my lover,
yeah
To young to be my lover [x2]
So, girl, won't you go home?
Go home to your sista, your
sista
Go home to your brother,
your brother
And go home to your aunty,
your aunty
Go home to your uncle, your
uncle
I can't love you [x3]
Can't you see you can't love
me?
You are too young
Can't you see [? ]
And your mama can't agree
Your papa don't want to see
you loving me.
Go home to your mama,
your mama
Go home to your papa, your
papa
You are too young to be my
lover
Check me two years later
dats woow! Hahahahahahahahaha you guys...!
 
Jamani basi hata hili pia unahitaji ushauri? Kama angekua mdogo wako wa kike ungemfanyaje huyo jamaa anae jaribu kutakaa kufanya vituko Kama vyako?
mimi kaniambia eti "PROMISE ME" one thng dat we are goen to be 2getha nkamwambia wewe bana mdogo
 
Pumba!!! ndo dgree unayochukua ya kuharibu wdogo zako!!!! umeshamurubuni binti wa watu naye kavuta masikio!!!huku mtaani nawapa makavu tu nyie wenye dgree uchuro kwa jamii!!!
 
Pumba!!! ndo dgree unayochukua ya kuharibu wdogo zako!!!! umeshamurubuni binti wa watu naye kavuta masikio!!!huku mtaani nawapa makavu tu nyie wenye dgree uchuro kwa jamii!!!
Yegoo!!! Hujaelewa mada, huyu mtoto ananitaka handsome boy!
 
Sasa kwani uwongo, si unapenda watoto au? Ulimjuaje na ikawaje mpaka afikie kukupenda wewe kwani unataka kutuambia hakuona wengine zaidi yako au? Wewe inabidi ufungwe kwa kulawiti watoto, tena mwanafunzi wa form III? Ngoja nikutafutie Green Guards wa Nape waje kwako mida hii, haufai kabisa wewe kwani ni mwaribifu tu wa watoto wa watu.
jamaa mbishi wewe hahahahahahaha! Mimi bado cjampa jibu, asanteee nipe makavu 2 ndo vzur
 
nasikia majengo ya serikali yamepungua watu kiasi! nahisi unampango wa kuelekea huko
 
Back
Top Bottom