miss wa kinyaru
JF-Expert Member
- Aug 28, 2012
- 542
- 356
Mapenzi yako hivi, huyo uliyekuwa nae/uliyeachana nae ulikuwa humpendi ila yeye alikuwa anakupenda sana tu, elewa kwamba huyo uliyenae hakupendi ila wewe unampenda, ila kwa vile unampenda unaona na yeye anakupenda, angekuwa anakupenda asingeshindwa kuachana na huyo mwingine, jiandae kuumia kwa matokeo ya mbeleni kama ulivyomuumiza mwenzio. Hayo ndo mapenzi usiogope