Ananipenda kweli

Ananipenda kweli

Yah! Tena very possible!!!!! Tena upendo wa mtandaoni wa kweli sana coz mnasomana tabia zaidi, interest, na mkiwezana mnakuwa na chemistry ya ajabu! Ila haya ya kuonana yanakuwa influenced zaidi na looks! Mtu ukishamuona mbaya whatever he says or has hukioni tena unaconclude vote vitakuwa vibayaaaa kama sura yake!

Online its more of tabia aspects!!!!!!!!
 
wacha mdanganya mwenzio muonekana kitu muhimu sana katika mapenzi tho sio kila kitu....ubataka ukimuona mpenzio mwili unasisimuka bwana
 
Safari moja huanzisha nyingine.
::
Mtandao ni njia ya kukutana,,KUPENDA AU KUPENDWA NI SAFARI NYINGINE
=
 
Yah! Tena very possible!!!!! Tena upendo wa mtandaoni wa kweli sana coz mnasomana tabia zaidi, interest, na mkiwezana mnakuwa na chemistry ya ajabu! Ila haya ya kuonana yanakuwa influenced zaidi na looks! Mtu ukishamuona mbaya whatever he says or has hukioni tena unaconclude vote vitakuwa vibayaaaa kama sura yake!

Online its more of tabia aspects!!!!!!!!

hahahha, mchaga katokea fb,hi5, jf au wap;i vileeeee afu unamsindikiza kwao kwenda kusalimia au we excluded in this chaga season
 
Yah! Tena very possible!!!!! Tena upendo wa mtandaoni wa kweli sana coz mnasomana tabia zaidi, interest, na mkiwezana mnakuwa na chemistry ya ajabu! Ila haya ya kuonana yanakuwa influenced zaidi na looks! Mtu ukishamuona mbaya whatever he says or has hukioni tena unaconclude vote vitakuwa vibayaaaa kama sura yake!

Online its more of tabia aspects!!!!!!!!
kwa upande wangu hii imefinika post zote ulizowahi kuzitoa hapa JF......... nimeipenda sana.......
 
  • Thanks
Reactions: BAK
kwa upande wangu hii imefinika post zote ulizowahi kuzitoa hapa JF......... nimeipenda sana.......
wee dada mkubwa kuna moja nyingine alitoa jana!
matata kabisa
ametoa sifa za mwanamke wa ukweli wa karne!
utampendaje mtoto wa mama lara 1
 
Last edited by a moderator:
kama ikitokea wote muwe wa kweli na hizo info zenu na interest,kuna wengine ni waongo wanadanganya hadi kabila achilia mbali picha za kina beyonce na jayz sa hapo kuna upendo au utapeli?,anakwambia anaishi dar masaki lakini kumbe anaishi soko makopo singida.TUWENI MAKINI WADADA, WAKAKA NA MAPENZI YA MTANDAONI YANATANDAA KA KITANGA CHA TANGA.
 
wee dada mkubwa kuna moja nyingine alitoa jana!
matata kabisa
ametoa sifa za mwanamke wa ukweli wa karne!
utampendaje mtoto wa mama lara 1
he heeeeeeeeeee, mlongo wangu ile kwangu sijaifagilia saaaaaaaaaana, maana imenichanganya tu, sijui huyo mwanamke wa shoka ndo anatakiwa awe na zile sifa zote au moja wapo? maana kuna mwenye zile zote kweli? mimi sijui
 
hahahha, mchaga katokea fb,hi5, jf au wap;i vileeeee afu unamsindikiza kwao kwenda kusalimia au we excluded in this chaga season

Hahahaaaaaaaaaa! Mchagga handsome, tulikutana live!!!!!!! Afu sura na muonekano ndo iliniponza!!!!!! Mwenyewe unajua tabia yangu hairidhishi so siwezi kukomalia mtu awe na tabia njema kivileeeeeee!
 
he heeeeeeeeeee, mlongo wangu ile kwangu sijaifagilia saaaaaaaaaana, maana imenichanganya tu, sijui huyo mwanamke wa shoka ndo anatakiwa awe na zile sifa zote au moja wapo? maana kuna mwenye zile zote kweli? mimi sijui

Njoo umuone dada yangu gfsonwin ndo utajua ol can be found under one roof bana!!!!

Simsifii ila ni kweli...yani mi huwa naomba kila siku: Oh Lord, give me a wife like my sister gfsonwin...😛ray2:
 
Last edited by a moderator:
Waongo wakubwa,nyinyi ndiyo mmefika mahali mnafanya mapenzi kwa njia ya simu!
 
yaa, Inawezekana. Cha msingi na muhimu muwe wakweli.
 
Njoo umuone dada yangu gfsonwin ndo utajua ol can be found under one roof bana!!!!

Simsifii ila ni kweli...yani mi huwa naomba kila siku: Oh Lord, give me a wife like my sister gfsonwin...😛ray2:
am humbled ma lito bro!
 
Mtandao unakurahishia tu kumpata huyo mtu..its like a MEETING place!....Mengine ya 'chemistry' na blah blah zingine ni kubahatisha...ikitokea matching bebaneni....ikumbukwe wanadamu walioko mtandaoni ndio hao hao tunaoishi nao huku uswahilini kwetu..kazi ni kwako!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom