Ananipenda ila naogopa kuwa nae

Ananipenda ila naogopa kuwa nae

Hivi maishani mwako ushawaza ipo siku unaweza kuharibiwa heshima ya makalio yako?

Kama hujawahi basi gusa huyo mke wa mtu...
 
Hiviii
Definition ya kupenda ni ipi? Ni kuharibu maisha ya mwingine, ni kuiba kisicho chako?
Nafikiri ungesema ananitamani nami namtamani lkn naogopa ingekuwa na maana nzuri zaidi. Mnachakachua maana nzuri ya upendo na kuuvika evil deeds.
 
Mi nlikua na mwanamke wa kussuza rungu tu wala sikua nampebda but siku niliyomfumania roho iliniuma sana tena sana..sasa vuta picha huyo mumewe anajua unafkiri itakuaje?
 
ukishaanza mahusiano nae jitahidi usisahau kutembea na mafuta..yatakusaidia siku ukifumaniwa
 
Anakupendaje wakati ana mume tayari? Mshauri aheshimu ndoa yake
 
Hivi maishani mwako ushawaza ipo siku unaweza kuharibiwa heshima ya makalio yako?

Kama hujawahi basi gusa huyo mke wa mtu...

Mshauri aanze kufanya mazoezi mapema..ili siku yakimkuta asiumie
 
Waliosema "Mke wa mtu sumu" hawakukosea.
 
Unajaribu kufa kama kupo basi good for you.
 
Back
Top Bottom