Habari zenu wanaJF,naleta kwenu story yangu ili nipate ushauri:2005 nilipata mpnz 2kapendana sana ndugu zake wakanifahamu na wangu pia...jamaa akawa anang'ang'ania anivishe pete ya uchumba wkt alikuwa anasoma chuo na mimi najifanyia kaz..nilimkatalia kwa kuwa alisema tutaoana baada ya miaka mi3 na ushauri wa wazaz ndugu,na jamaa ulisaidia ktk hilo wakasema kwa mila za kiafrika unatangaza uchumba huku unaanza process za ndoa,2008nikajiendeleza form5 na 6 ya one year.....alipomaliza chuo 2009akapata kaz nzur na mshahara mzuri san,akapewa nyumba na ukizingatia nilikuwa na pesa yangu kidogo ukichanganya na yake nikafanya shopping ya vitu vya ndani...baada ya miez6 sasa hapo ndio akaanza jeuri,dharau eti simfai wala sijui kufanya starehe n 2kawa tunagombana,akaacha kunijali wala kunishirikisha ktk mambo yake....nikavumilia yote..2009october nikaenda morogoro chuoni hapo ndio vurugu zikazidi kila nilipokuwa naenda kwake nakuta picha zangu zimetolewa ukutan,nguo za kike akawa ananiomba msamaha yanaisha 2kaendelea mpaka mwaka jana nilipomuuliza kuhusu NDOA akawa ananipiga kalenda 2kipanga akatoe mahari anasogeza miez mbele kila mara,wazaz wangu walikasirika sana kwa hilo isitoshe yeye zaman ndio alikuwa anaforce 2oane.....nilipombana akasema mama yake kamkataza kunioa nikamwambia tangu zaman kwa nin hakukataa hakunipa jibu sahihi ...dada zake wakashauri nishike mimba ndio atanioa au nihamie kwake NIKAKATAA kwa kuwa sikupenda anioe kwa kutopenda au forcing,kwa kweli ikawa vurugu mpk nilipomfumania kwake akiwa na mwanamke mwngne nikaamua basi tena niachane nae ila aftr 2months akawatuma dada zake wamuombee msamaha na mimi nikamsamehe kwa mapenz yangu ya dhati kwake tukarudiana kwa ahadi kibao ikiwemo ya kufunga ndoa.......mwezi wa 10akaniita kwake akaniambia nimsamehe kwa kuwa hawezi kunioa kwa kuwa anamsichana amempa mimba na hataki mtoto wa nje ya ndoa co SIRI nilizimia nikapelekwa hospital nikalazwa nikapata na BP na ulcers nilikonda ikawa kila siku nalia hata kusoma vizuri nashindwa ukizingatia ndio nipo mwaka wa mwisho....mama yake akamshauri kumtunza mtoto ila anioe mim kwa kuwa alikuwa amenipotezea muda akakataa,ikabidi nisalimu amri ingawa bado nilimpenda mwez uliopita wa 12yule msichana mimba imetoka jamaa anataka kurudiana na mimi ananisumbua kila kukicha ila sasa nimekataa katakata kwa kuwa hata ndugu zangu wamenikataza kurudiana nae maana niliteseka kwa ajili yake....Nampenda ila je nikirudi yakajirudia kama ya zamani?nipeni ushaur.