Ananiomba zawadi ya mtoto

Ananiomba zawadi ya mtoto

Poleni na majakuku.Kuna manzi ametokea kunipenda na kunikubali hali ya kuwa mimi pia kuna manzi nampenda.ila ch ajabu huyu manzi kila nikiumuomba mchezo anakubli ila sharti lke ataki tutumie kinga.cku moja nikamuuliza kwann akaniambia anataka nimpe zawad ya mtoto anadai hata nikimpa nimuache tu na tusijuane kabisa. hali ya kuwa mimi sina mpango huo kwa sasa na sijapanga kuwa na mtoto .USHAURI WENU WADAU

Sent using Jamii Forums mobile app
Aise Bwashee...kaa mbali na izo mambo uo ni mtego

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo manzi kakata tamaa, ila ww kama unataka kuowa owa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu si kukata tamaa hivyo vitu vipo, binafsi kuna binti huniomba nimuwekee mimba akiamini kuwa atapata mtoto mzuri, binti ana miaka 22 yuko chuo, maskani yao familia bora anasoma uku anasimamia biashara za mzee wake. She is smart.
Kinuonekano ni mzuri pia sana tu.Hayo maisha yapo mkuu wala si kukata tamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa ila vizuri alikua akuombe muowane
Mkuu si kukata tamaa hivyo vitu vipo, binafsi kuna binti huniomba nimuwekee mimba akiamini kuwa atapata mtoto mzuri, binti ana miaka 22 yuko chuo, maskani yao familia bora anasoma uku anasimamia biashara za mzee wake. She is smart.
Kinuonekano ni mzuri pia sana tu.Hayo maisha yapo mkuu wala si kukata tamaa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mna mda gani tangu muanze hizo ngono zembe?? Umri wake upo 30+?? Ka ni hivyo ana msongo wa;
1. Kuingia uzeeni bila mtoto
2. Alishapata kaugonjwa flan matata sana akaambiwa; Kumpata mtoto ni ndoto hivyo wewe ni jaribio.
3. Unajiita dady!! Je, unatamani kuwa baba au tiyari ni baba?? Kama titari basi ujue kuwa anatamani mbegu yako
All in all, sio vyema kuzaa kama bata ukiwasahau wanao kihovyo hivyo
 
Si ishasema huna mpango wa kupata naye mtoto, sasa wataka ushauri gani tena?
 
Poleni na majakuku.Kuna manzi ametokea kunipenda na kunikubali hali ya kuwa mimi pia kuna manzi nampenda.ila ch ajabu huyu manzi kila nikiumuomba mchezo anakubli ila sharti lke ataki tutumie kinga.cku moja nikamuuliza kwann akaniambia anataka nimpe zawad ya mtoto anadai hata nikimpa nimuache tu na tusijuane kabisa. hali ya kuwa mimi sina mpango huo kwa sasa na sijapanga kuwa na mtoto .USHAURI WENU WADAU

Sent using Jamii Forums mobile app
Nipe namba yake nimpe hyo zawadi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe mpe mimba atakugeuka mchana kweupe na utaoa, haya majaribio ya ndoa za bomani mdada kamdanganya mkaka wqfujgevili asiende kijijini ile kutunga kamwambia wewe ni mme wqngu ukinikataa mahakamani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poleni na majakuku.Kuna manzi ametokea kunipenda na kunikubali hali ya kuwa mimi pia kuna manzi nampenda.ila ch ajabu huyu manzi kila nikiumuomba mchezo anakubli ila sharti lke ataki tutumie kinga.cku moja nikamuuliza kwann akaniambia anataka nimpe zawad ya mtoto anadai hata nikimpa nimuache tu na tusijuane kabisa. hali ya kuwa mimi sina mpango huo kwa sasa na sijapanga kuwa na mtoto .USHAURI WENU WADAU

Sent using Jamii Forums mobile app
Nipe number yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom