QUALITY
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 853
- 115
Ndugu zangu wote walioangalia ITV jana, waliona jinsi kiongozi wa TAMWA, Ananilea Nkya alivyolaani kitendo cha JWTZ kujiingiza katika masuala ya CCM. Hivi ndivyo inavyopaswa kuwa sababu hasa wote ambao wanajihusisha na masuala ya elimu ya uraia semeni wazi. Kama kuna anayeweza kuingiza ile picha ya mama Ananilea Nkya, itakuwa vyema kwa ambao hawakuona. karibuni jamvini