martinezstavo
JF-Expert Member
- Jun 30, 2020
- 735
- 1,560
- Thread starter
- #21
unaishi wapi mkuu?Nilishawahi jiuliza hili pia, lakini pisi kali kitaa mbona ni chache tofauti na mapambio yaliyomo humu??
unaishi wapi mkuu?Nilishawahi jiuliza hili pia, lakini pisi kali kitaa mbona ni chache tofauti na mapambio yaliyomo humu??
Mada zenu humu kila mtu kaumbika, ni Mrembo ana umbo sijawahi ona uzi hata mmeandika vinginevyo


hili siwezi kukwepesha hata kidogo na wala pia siwezi tumia nguvu kumuelezea ila niwe muwazi kwa mala ya kwanza kumuona alichukua attention ya kikundi chetu chote cha Wageni sisi na mpaka sasa baadhi ya watu wanatAmani wangekuwa wamevaa uhusika wangu kwa kuona kuwa hiyo ni nafasi ya dhahabu lakin ukweli ni kuwa kitanda usicholalia huwezi jua wingi wa kunguni wakeMkuu, mimi siyo mhusika wa hii hadithi.
Siku hizi kupata anayekuganda (tena pisi kali) ni bahati sana halafu yeye anaichezea. Ngoja naye Karma itakapobadili kibao agande asipotakiwa ndiyo atajua wahenga walimaanisha nini waliposema mkuki kwa nguruwe....
Mwambie ashirikishe watu wazima....labda ataelewaMkuu, mimi siyo mhusika wa hii hadithi.
Siku hizi kupata anayekuganda (tena pisi kali) ni bahati sana halafu yeye anaichezea. Ngoja naye Karma itakapobadili kibao agande asipotakiwa ndiyo atajua wahenga walimaanisha nini waliposema mkuki kwa nguruwe....
Usiishie kucheka tu. Nakutegemea utie neno...tena neno hasa kama ilivyo kawaida yako...na usiniangushe



Hahaaaa hii story ya shingongo tu jamaa Katia mimba life gumu hapo anataka kumtelekeza huyu dada, hizo story za kazini hadithi tu ili aambiwe akimbie lohUsiishie kucheka tu. Nakutegemea utie neno...tena neno hasa kama ilivyo kawaida yako...na usiniangushe![]()
hiyo privacynipe namba zake
Hahaaaa hii story ya shingongo tu jamaa Katia mimba life gumu hapo anataka kumtelekeza huyu dada, hizo story za kazini hadithi tu ili aambiwe akimbie loh






hayo ndo maoni yako kwangu, au unafikilia kwa nguvu?Hahaaaa hii story ya shingongo tu jamaa Katia mimba life gumu hapo anataka kumtelekeza huyu dada, hizo story za kazini hadithi tu ili aambiwe akimbie loh
Vyovyote tu ulivoelewa ndio sahihi according to youhayo ndo maoni yako kwangu, au unafikilia kwa nguvu?
siwezi kukimbia kama niliwai kuleta uzi kipindi tumeanza mahusiano nkapata Suruhu skuweza kukimbia iweje leo
Kukimbia mimba naonaga ni dhambi sana. Ni afadhali tu kupambana aisee hata kama ni kwa kubeba zege. Ila labda yote ni Shigongo tu na hajatia mimba wala nini yupo tu anachangamsha baraza...
hiyo privacy
Wanaume hukimbia mimba Sana na huanza visababu akishajua una mimba, Yani sisi wanawake tukidaganya wanaume na mimba yako sura hubadilika kabisa na hukata mawasiliano.
Kukimbia mimba naonaga ni dhambi sana. Ni afadhali tu kupambana aisee hata kama ni kwa kubeba zege. Ila labda yote ni Shigongo tu na hajatia mimba wala nini yupo tu anachangamsha baraza...
natafuta mechanism za kupata inner peace naimani ndo msingi wa kila kitu kwenda sawa ila peke angu nimeshindwa ndo maana nmeleta hapa kwenu ma menta mnaweza nipa abs'sVyovyote tu ulivoelewa ndio sahihi according to you
Ukali unatokana na muangaliaji na vigezo vyake mfano pisi miss Bantu mabonge wanapendwa sana na wanaume wa Africa wakati Ulaya hawana soko kule kipaumbele ni vimodo aka tako kama goti English figureNilishawahi jiuliza hili pia, lakini pisi kali kitaa mbona ni chache tofauti na mapambio yaliyomo humu??
Lea mimba usikimbie starehe yako hyo inner peace Ni sababu tu ka ulijua humukubali why ulienda pekupeku, baada ya mimba ndio anakuganda eeeh?natafuta mechanism za kupata inner peace naimani ndo msingi wa kila kitu kwenda sawa ila peke angu nimeshindwa ndo maana nmeleta hapa kwenu ma menta mnaweza nipa abs's
Tunaongea tu bro usichukulie siriazi kila kitu. Wajua tena ukileta jambo mbele ya wananzengo. Chukua ushauri unaouona wa maana na porojo zingine ziache tu. Natumaini utapata suluhu ya moyo wako ila kama nilivyosema hapo juu, una habati sana japo hujui tu....siwezi kukimbia kama niliwai kuleta uzi kipindi tumeanza mahusiano nkapata Suruhu skuweza kukimbia iweje leo