martinezstavo
JF-Expert Member
- Jun 30, 2020
- 735
- 1,560
- Thread starter
- #41
nazani kuhusu kwenda peku nimeelezea hapo kuwa ilikuwa kwa ajiri ya ku revenge lakini matokeo yake yamekuja kuwa tofauti na matarajioLea mimba usikimbie starehe yako hyo inner peace Ni sababu tu ka ulijua humukubali why ulienda pekupeku, baada ya mimba ndio anakuganda eeeh?


kbsa mkuu umejifunza wapi uandishi na matamshi yani kama standard one vile anaandika