Analysis: Sababu 10 kwanini Lowassa kuhamia CHADEMA sio tishio

Analysis: Sababu 10 kwanini Lowassa kuhamia CHADEMA sio tishio

Mkuu kaptula la Marx, umetoa maelezo mengi sana lakini umeacha kitu kimoja cha msingi sana, je kwa mawazo yako, huko Ukawa, ni Nani anaeweza kupigiwa kura na wananchi badala ya Magufuli?
Kwa maelezo yako, ni dhahiri kuwa wewe ni mfuatiliaji wa maswala ya kisiasa na kwa vyovyote mpaka kuifikia hiyo conclusion, itakuwa unayajua maswala ya upande wa Ukawa pia, sasa hebu taja jina la huyo mgombea bora ambae ataweza kumwangusha Magufuli.
 
Mkuu mbali na kuandika kitabu, EL hawezi kuijiunga na CDM. Hayo mengine ni porojo tu kwani wengine hizi ndo ofisi zao.

kama msingemtuma yule kiongozi wa dini na wale wazee wakamuombe chonde chonde asiame chama, mtampa pension nzuri angekuwa keshasepa tehe tehe teheeee.... Mlishikwa pabaya
 
Bora umemwambia huyo jamaa. Nadhani mleta uzi atakuwa ni mzee kwa hiyo hapa kashusha uchambuzi uliochanganyika na propaganda za kizee. Ni hivi EL cdm haingii na ccm itabidi wategemee goli la mkono.

Mmeshaanza kurudi kinyumenume ennh?? Subirini kutandikwa October 25!
 
Safari hii ccm inatoka madarakani kwani inatimiza msemo wa baba wa Taifa kua upinzani wa kweli utsyoka ccm na Lowassa wa ccm akienda upinzani .ccm will rest in peace
Nguvu ya mamba na samaki ni ndani ya maji tu
 
Mnaopinga kuwa Lowasa hawezi kuingia cdm!! nyinyi Ni kina nano ndani ya CHADEMA?? PENGNE HADI KADI HAMNA
 
Mkuu hongoli, uzi huu ni muendelezo tuu wa kuweweseka kuhusiana na 'jamaa yangu huyu!', mimi naweza kujiita ni miongoni mwa washabiki wake number one humu jf, lakini baada ya kupitishwa jina la JPM, nilimshauri, ushauri huu, [h=3]Ushauri wa Bure Kwa Lowassa: Kwa Vile ni Magufuli, Kubali Yaishe, Vunja Kambi, na Kujisalimisha Rasmi!.
[/h]na amekubali kuufuata, hivyo wale wonye wenye ndoto eti kuna siku Lowassa atahama CCM, endeleeni kuota huku mkusubiri!, ... mtasubiri mpaka...!.

Pasco

Staty tunned for a big surprise
 
Back
Top Bottom