jamani naombeni ushauri nina dada ambaye nilikuwa na uhusiano naye , mbaya zaidi ameanza kujitambulisha kwa wazazi wangu kuwa mimi nimeshamuoa na ananifuata hadi ofisini akisema amewambia wazazi wangu kuwa tunafunga harusi mwaka ujao na baba yake ni mganga wa kienyeji nifanyaje ili nisipatwe na hili tatizo kuoa bila malengo
jamani naombeni ushauri nina dada ambaye nilikuwa na uhusiano naye , mbaya zaidi ameanza kujitambulisha kwa wazazi wangu kuwa mimi nimeshamuoa na ananifuata hadi ofisini akisema amewambia wazazi wangu kuwa tunafunga harusi mwaka ujao na baba yake ni mganga wa kienyeji nifanyaje ili nisipatwe na hili tatizo kuoa bila malengo
jamani naombeni ushauri nina dada ambaye nilikuwa na uhusiano naye , mbaya zaidi ameanza kujitambulisha kwa wazazi wangu kuwa mimi nimeshamuoa na ananifuata hadi ofisini akisema amewambia wazazi wangu kuwa tunafunga harusi mwaka ujao na baba yake ni mganga wa kienyeji nifanyaje ili nisipatwe na hili tatizo kuoa bila malengo
nenda kwa mganga wa kienyeji atakusaidia sana,,ooh nilitaka kuasahau nenda kwa baba mkwe wako
kumbe solution unayo mwenyewe then unaikalia tuh
tehe, pal the big show umenichekesha sana, upo? Kazi zinaendaje mkuu?
the one & only don inside here,,,"mangi",,nipo kiongozi,,kazi safi tuh,japo mafisadi wanaturudisha nyuma,,
tunajenga wao wanabomoa,wanaona jasho letu sisi tamu sana,kama sukari guru,ila mungu atatunusuru,,
mbona umeitoa ile avatar yako?naikubali sana kiongozi
kweli mafisadi watachomwa moto wa gesi, wanakulaje jasho letu kirahisi rahisi?
Hahaha, mkuu usiniambie avatar ile kumbe unaikubali, but niko mbioni kutafuta nyingine nzuri tu mkuu.
1. Yeye ndo kawaambia wazazi wako........
2. Yeye ndo anakuja ofisini kwako......
3. Baba yake ni mganga wa kienyeji......
Wewe ndo muoaji na hujapeleka hata posa unaweweseka nini sasa.......je kama ungekuwa unaolewa wewe si ungewehuka........!!!!!!!
Are you real serious...................???????????????????????