Anakuja na kurudi siku hiyo hiyo!!

Anakuja na kurudi siku hiyo hiyo!!

Unaweza ukakuta hata hakuna mjanja alomzidi. Uchumba gani wa muda mrefu hivyo, inafikia hatua unamchoka tu mtu. Alafu binti kama haoni dalili za ndoa ndio anaona anachoshwa tu.
Na kweli aisee
 
Unaweza ukakuta hata hakuna mjanja alomzidi. Uchumba gani wa muda mrefu hivyo, inafikia hatua unamchoka tu mtu. Alafu binti kama haoni dalili za ndoa ndio anaona anachoshwa tu.
Inshu ya ndoa tatizo ni dini tofauti hapa ndo pana utata
 
Daahh ..kwa vile haujamuoa hauna sauti mkuu..wewe ni mpigaji kama anavyopigwa na jamaa wengine tu huko nje
 
Nawe kausha kimya usijitie jaka la moyo bure BP ukiiendekeza itakugharimu
 
Salaam wana MMU

Sijui niseme kanichoka
Sijui kaona mi baga sina hela
Sijui ananionaje huyu mwanamke

Mimi ni baba wa mtoto mmoja,na nimekua na huyu mzazi mwenzangu kwa almost 5 years

Mwenzangu kabahatika kupata ajira nzuri yenye salary nono
Tunaishi mbalimbali japo sio sana ,yani tupo mikoa jirani

Tangu Jana nampigia simu huyu mwanamke kumuuliza kama ameomba ruhusa kazini ili aje nimsindikize clinic anatatizo flani la uzazi hivyo anafanyia vipimo vya Mara kwa Mara
Badala ya kunijibu vizuri ananipayukia Mara tuma nauli Mara nisimsumbue mi nikapandisha jazba akaniambia basi siwezi kuja usije ukanipiga ,mi nikakata simu

Leo nampigia na kumsalimia na kumuuliza kuhusu route yake ya huku aje weekend hii tukae wote hadi j3 ili nimsindikize medical ananijibu hawezi kuja anakuja j3 asubuhi anaenda hospital akimaliza anaondoka

Hii ina maana hata kwangu hatakanyaga,huyu mwanamke najitahidi kumheshimu lakini naona kila siku analeta dharau

Nina muda sijasex nae nimemwita ili tupate kukaa faragha japo hizi siku 2 anaishia kunijibu anakuja j3 asubuhi na anarudi kwake ina maana suala la kuja kwangu weekend kalikacha ,hii ni haki jamanii tumezaa mtoto mmoja lakini anavyonifanyia sometimes ni utoto kila nikipiga simu hazipiti siku 2 lazima tukwaruzane

Je kitendo cha kuja na kuondoka pasipo kupitia ninapoishi mzazi mwenzake ni haki jamanii?? nafadhaika sana moyoni.
Huyo si saizi yako
 
Mapenzi ya mbali hayo ndio madhara yke. Muda mwingine hupelekeaga hasira tu zisizokuwa ht na maana
 
Salaam wana MMU

Sijui niseme kanichoka
Sijui kaona mi baga sina hela
Sijui ananionaje huyu mwanamke

Mimi ni baba wa mtoto mmoja,na nimekua na huyu mzazi mwenzangu kwa almost 5 years

Mwenzangu kabahatika kupata ajira nzuri yenye salary nono
Tunaishi mbalimbali japo sio sana ,yani tupo mikoa jirani

Tangu Jana nampigia simu huyu mwanamke kumuuliza kama ameomba ruhusa kazini ili aje nimsindikize clinic anatatizo flani la uzazi hivyo anafanyia vipimo vya Mara kwa Mara
Badala ya kunijibu vizuri ananipayukia Mara tuma nauli Mara nisimsumbue mi nikapandisha jazba akaniambia basi siwezi kuja usije ukanipiga ,mi nikakata simu

Leo nampigia na kumsalimia na kumuuliza kuhusu route yake ya huku aje weekend hii tukae wote hadi j3 ili nimsindikize medical ananijibu hawezi kuja anakuja j3 asubuhi anaenda hospital akimaliza anaondoka

Hii ina maana hata kwangu hatakanyaga,huyu mwanamke najitahidi kumheshimu lakini naona kila siku analeta dharau

Nina muda sijasex nae nimemwita ili tupate kukaa faragha japo hizi siku 2 anaishia kunijibu anakuja j3 asubuhi na anarudi kwake ina maana suala la kuja kwangu weekend kalikacha ,hii ni haki jamanii tumezaa mtoto mmoja lakini anavyonifanyia sometimes ni utoto kila nikipiga simu hazipiti siku 2 lazima tukwaruzane

Je kitendo cha kuja na kuondoka pasipo kupitia ninapoishi mzazi mwenzake ni haki jamanii?? nafadhaika sana moyoni.
Ni kabila gani, kama ni mnyaturu au mnyiramba andika maumivu, huwa ni wababe sana, hawataki kuwa chini ya mwanaume. Wanataka wao ndiyo wawe kila kitu, wanadharau, kiburi, jeuri, kisirani na malaya pia[emoji4][emoji4]
 
Nenda hospital Jumatatu, kamgonge huko huko, mwambie Dr Shika akupishe, mgonge hata wodini.
 
Ndio ni haki kama hujamuoa

Ila unaroho nzur sana,unatia hurumaaaa


Hebu muoe acha kuzini miaka 5 na mtoto juu nakazi mnazo jamn hapanaaa
Hahahaaaa eti amuoe as if Jamaa ndo mwenye maamuzi. We hupimi uhalisia tuu Jamaa na kulialia kote huko unahisi hatamani kumuoa?? Haaha shida IPO kwa bibi tukionao[emoji28] [emoji28]
 
Ndio ni haki kama hujamuoa

Ila unaroho nzur sana,unatia hurumaaaa


Hebu muoe acha kuzini miaka 5 na mtoto juu nakazi mnazo jamn hapanaaa
Mwanamke anaonyesha kila dalili zakua na mwanaume mwingine halafu wewe unasema afunge ndoa kabisa,are u serious?
 
Pole ndugu jaribu kujishusha kwake ujue nini chanzo cha yote hayo, ukishapata jibu maamuzi ni juu yako.
 
Pole sana mkuu tafuta demu aekiti kama ni demu wako siku akipiga simu mpe aongee nae halafu amtishie kuwa yeye ni demu wako soon atakutafuta na kuomba msamaha alipokukosea!
Dawa ya demu wa hivyo jifanye umeridhika na utishie kumuacha siyo yeye akupelekeshe na akishagundua unampenda lazima atumie udhaifu wako!!!
Chukua hatua lasivyo tutakuja onana na wewe kwenye korido una kamba ukielekea vichakani sababu ya mawazo
 
Hicho ni kiburi cha kujiona yeye ndiyo yeye na bila wewe anaweza kuishi,hapo upendo hakuna na kaishajua unampenda pamoja na visa vyake,hivyo ukifanikiwa kumuoa huyu atakusumbua mpaka utajuta,huyo ni jeuri na hana mpango nawe zaidi ya kulazimisha moyo wake kwake.Cha kufanya usimtafute,kuwa kimya kabisa,atakutafuta mwenyewe,jifunze kuwa na msimamo katika mahusiano,hawa Wanawake wanaishi na Mtu namna watakavyo baada ya kumsoma,kwa hiyo usipokuwa makini baadaye ndiyo anakusumbua zaidi kwa vitimbi na dharau na kusema ana dharau kumbe ndivyo ulivyomzoeza,usimfikirie kwa sasa fanya zako shughuli hata ikiwezekana nakiri namba zake pembeni(note book) na kisha zifute kwenye simu yako ili usipate vishawish vya kumtafuta.
 
Back
Top Bottom