Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
sawa kabisa....huyu dada amevuka mipaka sasa, yaani anataka kumbinafsisha kaka wa watu na mkaka nae kashalegea...akipata shida huyu kaka huyo mama atamkimbilia nani kama kila mtu kwake mbaya?
Kumbuka wivu ni nature na nature huwezi uka icontrol so dada yupo sahihi.