Anahitajika mhudumu wa ofisi haraka

ikigori

Member
Apr 10, 2012
26
0
Awe na umri usiozidi miaka 30,awe na ujuzi wa kutumia kompyuta,tuma maombi:johnmajaliwa10@yahoo.com
 
yupo ila umri umesonga ni kama 32 hivi but ana experience ya muda mrefu aliwah kufanya kazi iringa finca ni ndugu yangu utamkubali?
 
toeni jina la ofisi jamani du usije kuta ofisi kwa mtu nyumbani lol
 
Unaonaje kama ungetoa jina la kampuni ili kama mtu anatumia awe na uhakika kuliko kutoa tu email.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom