Nkuba25
JF-Expert Member
- Nov 18, 2015
- 2,268
- 12,495
Habari Wana Bodi
Natarajia kufungua ofisi/ workshop kwa ajili ya kutengeneza Milango na Frame za Milango za Mbao.
Eneo: Goba njia panda nne - Dar es Salaam.
Hii ni ofisi/workshop mpya, kwa hiyo nahitaji/natafuta Fundi ambaye atakuwa anasimamia hizo shughuli. Huyo Fundi anatakiwa awe mzoefu wa kazi hizi.
Fundi ambaye yupo interested, naomba tuwasiliane inbox/PM.
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Natarajia kufungua ofisi/ workshop kwa ajili ya kutengeneza Milango na Frame za Milango za Mbao.
Eneo: Goba njia panda nne - Dar es Salaam.
Hii ni ofisi/workshop mpya, kwa hiyo nahitaji/natafuta Fundi ambaye atakuwa anasimamia hizo shughuli. Huyo Fundi anatakiwa awe mzoefu wa kazi hizi.
Fundi ambaye yupo interested, naomba tuwasiliane inbox/PM.
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app