CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
Dada P alikuwa na mchumba wake waliyedumu kwa muda wa miaka 5, mpaka akam-engage. now mkaka amemuacha solemba pamoja na kuwa kesham-engage. kisa ni kwamba mkaka alipigiwa simu na ndgu yake kuwa dada P ana uhusiano na mkaka mwingine. basi huyo mchumba wa dada P akachukua uamuzi wa kuachana naye na inasemekana mkaka ameshatafutiwa mchumba mwingine toka kijijini.... so anahitaji ushauri je afanyeje? na mwanaume kashikilia msimamo wa kuachana?