neggirl
JF-Expert Member
- Jul 30, 2009
- 4,860
- 2,149
Mnazichomekwa kwenye sehemu ya flash, afu mnaclik kwa pamoja.
haha hahaaa
nimecheka kwa nguvu!
Mnazichomekwa kwenye sehemu ya flash, afu mnaclik kwa pamoja.
Ukisoma kwa makini hapa
maswali yanakuwa mengi ...
- Alipokuja hapa tz na kutoa minoti na kumuachia ki IST, hawakuwahi
kugegedana? Walikubaliana nini?- Hawakuweza kuongea juu ya hatma ya mahusiano yao?
- Ana ushahidi gani kuwa huyo ni daktari bingwa huko majuu na siyo
tapeli?- Kwanini asimtumie nauli huyo binti aende kwake au yeye awe anarudi
baada ya muda fulani kupata hiyo huduma?- Kwanini amtishe huyo dada kuwa kama hawezi kufanya mapenzi online,
amruhusu yeye kugegeda msichana mwingine kukudhi haja zake? Hivi
asingeweza kugegeda bila kuomba ruhusa? Kwanini kuna vitisho?
Kama mada hii ni ya kweli, kwa haraka haraka, nahisi anataka kumfundisha
huo mchezo wa kufanya mapenzi online, ili awe ANAMREKODI na kuzichukua
picha hizo za video na kuziuza kwenye mitandao ya ngono huko kwako. Na
hiyo ndiyo sababu ya kumhonga gari na hela nyingi. Ni ngumu kuhongwa
hivyo kwa ajili ya michezo ya online. Kuna kitu ndani yake. Michezo hiyo
ni mingi siku hizi, mwambie afunguke kiakili, atadhalilika!
Sijui akina snowhite,
SnowBall, Kongosho,
Kaunga, gfsonwin,
Mr Rocky, neggirl,
Nivea, Kaunga nk
mnauelewaje mchezo huu!
Naomba tufanye woteee!??
hakuna shida.ukiwa tayari nishtue tu
mzabzab mzima wewe?
ulienda wapi rafiki au umepata jiko!
Na kweli!Nmh,apa ngoja nipite2.
Kugegeda online.....ndo kukoje mtakatifu ODM
nipo bwana ila nimepata dada mmoja wa huko kwenu kanikamatia. nala raha tuu na bby wangu
Hapo chacha, dunia ina mambo balaa
hahaa kula raha best angu .. na ukishikwa shikamanaa